Nahitaji kupingwa kwa hoja kwa mambo ninayo amini kuhusu watu weusi

😂😂😂Uvivu ndio laana yenyewe maana inaama kizazi kwa kizazi bado jamii nyingi za watu weusi azijashtuka compared to igbo,kikuyu and chaggas in tz few to mention.

Kuna mahali niliwahi kusoma kwamba wavivu ni wagunduzi wazuri sanaa i.e viti vya matairi maofisini kwa nini sisi Uvivu wetu hauna tija.....jibu ni laaana.
 
Watoto wetu wakimaliza shule hasa Form 4 na form 6 wanaingia kuwa machinga, kuendesha bajaji na Bodaboda huku wakiwa hawana kabisa ufahamu kuhusu rasilimali zao za madini waliyobarikiwa na Mungu.
Hao wanaokuibia madini ndio wanaokuletea story za Mungu wa uongo ambaye hayupo.
 
 
😂😂😂😂😂😂 Hapa ndio inaonyesha kabisa tumelaanika wenzetu wanapambania maisha yanayoonekana sisi tunajifariji na maisha ya kufikirika na yenye ubaguzi na masharti sio kua ni ticket ukishakufa ni uhakika wa kuanza hayo maisha fikirika.
 
Hivi hii 2023 kuna mwanachuo kweli asiyeweza kutuma na kupokea emai?
 
Ni kweli sisi ni ile mbegu iliyodumaa, na sio madini tu ni technology ifundishwe from childhood mana sioni chenye maana kukaririsha kijana mdogo mambo ambayo hana interest nayo
Kama sijakosea, Mr. Blue aliamua kuacha shule kisha akajikita katika music. He's my agemate and his decision paid him off very well.
 
Yesu ni njia na uzima, kama simwamini kama mwana wa Mungu nitapotea??je aliumba wapagani, Wajapani, warusi na wote wasiomwamini ili wapotee? Ni Mungu gani? Labda huyu aliyeletwa na wamisionari. Mimi Mungu wangu wa asili, anatokana na mababu zangu ndiye ninaemwamini. Mungu wa kweli ni yule anatokana na jadi yako.
 
Nina swali:

- Hii inajumuisha watu weusi waliochukuliwa kama watumwa ambao sasa wapo nchi za nje? Au ni sisi tu huku Africa ndani?
Mkuu, kwani hauoni kama kitendo cha kuchukuliwa kwa nguvu na kufanywa mtumwa, hivyo pekee inatosha kuonesha dalili zote za mtu mwenye laana? Kwanini wazungu hawakuwa watumwa huku Africa??
 
Kwani mpaka sasa haufahamu kwanini wacongo wanapigana?

Lakini pia, ungekuwa umeelewa nilichoandika walau usingeandika hivi.
Bro nimesoma ulichokiandia naomba nikuulize kitu
Je nchi zilizoendelea watu wake hakuna walio wa binafsi??
Maana asili mojawapo ya human being ni ubinafsi
Kama wao hawana waliwezaje kutokuwa nao??
 
Una fikra za kimaskini sana,

Na unadhihirisha kwamba Biblia imeharibu mfumo wako mzima wa kufikiri.

Uko sawa na teja aliye haribiwa na madawa ya kulevya.

Dini ni utumwa wako wa fikra

Jomo Kenyatta alisema kwamba:

"When the Missionaries came to Africa They had a Bible, We had the land. They said let us pray we closed our eyes, When we opened them they had the land, We had the Bible"

Yani ume danganywa kuna maisha bora mbinguni, ili ubweteke wajanja wachukue mali zako!!!!

Mbingu Haipo.

You cannot wish for a house of Gold in Heaven while you have never touched Gold right here on Earth.

If you fail to live on Earth, The fantasy of heaven is an illusion.
 
Huyu amesha haribiwa na dini vibaya mno.

Ni sawa na teja

Ndio maana ana jifariji na maisha ya kufikirika.
 
Mtu mweusi akisoma akija mtaani anajitenga na wenzie kisingizio sio level yake.

MTU mweusi akiwa na mrija wa pesa anapiga na anajenga Nyumba ya kifahari yenye Sweamingpool lihali Jirani yake hana hata Choo kizuri.

Mtu mweusi anaamini sana Ushirikina na Mapenzi kuliko kazi.

Mtu mweusi hapendi kazi ngumu bali kuomba omba
Mtu mweusi ana penda sana vya kupewa
 
Bro nimesoma ulichokiandia naomba nikuulize kitu
Je nchi zilizoendelea watu wake hakuna walio wa binafsi??
Maana asili mojawapo ya human being ni ubinafsi
Kama wao hawana waliwezaje kutokuwa nao??
Ubinafsi ni asili ya mwanadamu, hata Mimi nimesema huko juu. Tofauti yao na sisi, ni uzalendo na kujitambua kwa raia wao. Kiasi kwamba anayeingia madarakani, anakuwa anatanguliza maslahi ya nchi kwanza.
 
ufaransa umeme haukatiki 24hrs,wanatumia uranium waliochimba niger,nchi nzima ya niger ni 19% tu wananchi wake wana umeme,misri ni wakulima hodari na matajiri kwa kutegemea mto nile,unaoanzia east africa,kwenye njaa ya chakula..
 
Ubinafsi ni asili ya mwanadamu, hata Mimi nimesema huko juu. Tofauti yao na sisi, ni uzalendo na kujitambua kwa raia wao. Kiasi kwamba anayeingia madarakani, anakuwa anatanguliza maslahi ya nchi kwanza.
unafikiri wao ni wazalendo kiasi hicho unachofikiri?? ebu niambie umetumia kipimo gani au factor gani kusema wao wanauzalendo??

Ikiwa hivyo ndivyo je sisi tumefeli wapi kuiga kujifunza kutoka kwao maan vitu vingi tumetoa kwao
eg system za mahakama
education
tiba
uongozi n.k
 
unafikiri wao ni wazalendo kiasi hicho unachofikiri?? ebu niambie umetumia kipimo gani au factor gani kusema wao wanauzalendo??
Nmetumia observation pamoja na ulinganifu wa yale wanayosema dhidi wanayofanya. Uwazi wa asilimia kubwa wa mambo wafanyao na uwajibikaji. Lakini Pia maendeleo ya nchi zao

Ikiwa hivyo ndivyo je sisi tumefeli wapi kuiga kujifunza kutoka kwao maan vitu vingi tumetoa kwao
eg system za mahakama
education
tiba
uongozi n.k
Tanarudi kule kule, hatuna uzalendo hivyo hatuwezi kuwa na uwajibikaji au Uwazi kwenye mambo tufanyayo, na hayo yote yanatokana na ubinafsi wa kiwango Cha juu tulionao
 
hahaaa ukiona umerudi kwenye circle yako ya jibu la kwanza tambua kuna kitu bado hujakijua
 
Bro fanya fanya basi mpango tupate ile story ya mdogo wake mama mwenye nyumba....
 
Ubinafsi wakujimaliza mwenyewe na kizazi chako utahira AKA laana iliyotukuka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…