rosita
JF-Expert Member
- Oct 18, 2013
- 509
- 469
Habari zenu wapendwa
Namshukuru Mungu nimejifungua mtoto wa kike tarehe 12/1 lakini nilipasuka msamba namaanisha alinichana sababu alizaliwa na kilo tatu na nusu na ni mara yangu ya kwanza kujifungua.
Hivyo basi nilishonwa na zile nyuzi zisizotolewa but mpaka leo sijapona na nazingatia maelekezo yote niliyopewa ikiwemo usafi.
Naomba mwenye ufahamu juu ya hili anishauri nifanyeje sababu nakosa amani.
Namshukuru Mungu nimejifungua mtoto wa kike tarehe 12/1 lakini nilipasuka msamba namaanisha alinichana sababu alizaliwa na kilo tatu na nusu na ni mara yangu ya kwanza kujifungua.
Hivyo basi nilishonwa na zile nyuzi zisizotolewa but mpaka leo sijapona na nazingatia maelekezo yote niliyopewa ikiwemo usafi.
Naomba mwenye ufahamu juu ya hili anishauri nifanyeje sababu nakosa amani.