baiser
JF-Expert Member
- Dec 29, 2014
- 1,480
- 2,239
Habari wana JamiiForums,
Kuna kitabu changu ninakiandika, na bado kidogo kukimalizia. Nataka kujua ni utaratibu gani niufuate ili niweze kukiingiza sokoni na pia nahitaji kujua gharama za ku-print kila copy moja ya kitabu chenye page chini ya mia moja.
Kuna kitabu changu ninakiandika, na bado kidogo kukimalizia. Nataka kujua ni utaratibu gani niufuate ili niweze kukiingiza sokoni na pia nahitaji kujua gharama za ku-print kila copy moja ya kitabu chenye page chini ya mia moja.