Nahitaji kupungua uzito

Nahitaji kupungua uzito

Na paste hapa hizi ni personal notes zangu za vipimo vya uzito, nilikua napima kabla ya kuingia gym na baada ya kufanya mazoezi. Ndani ya miezi 6 (Nov 2014- May 2015) ya commitment ya kuburn calories 1000 kila siku kwa siku 6 za wiki nilipunguza kilo 22 kutoka 96kg mpaka 83.6Kg. Nachoweza sema ni kwamba mambo ya diet hayasaidii sana kwasababu sio sustainable, diet sio lifestyle unayoweza dumu nayo na hivyo cha msingi ni kufanya kitu ambacho unaweza dumu nacho. Punguza Carbohydrates kama ngano, ugali na mchele, principle yangu mimi ni kwamba mboga iwe nyingi sana kuliko hizo main dishes za carbohydrates (ikiwezekana achana nazo kabisa), sijanunua sukari tangu mwaka jana na nimepunguza sana vitu vya sukari. Hayo machache yatakusaidia, ninge paste hizo data mpaka May ili uone kwamba ni rahisi kupunguza uzito hata 2 kwa wik

Fitness training

Feb 3 reading= 85.5 after workin out
Feb 4 before 84.6 after 83.7
Feb 5 before 83.6 after 83.6
Feb 6 before 83.6 after 83.3
Feb 7 mapumziko
Feb 10 before 84.6 after 83.8
Feb 11 before 84.3 after 83.6
Feb 12 before 84.5 after 83.5
Feb 14 before 84.5 after 84.0
Feb 15 before 84.6 after 84.0
Feb 16 before 85.2 after 84.5
Feb 22 before 84.5 after 83.5
Feb 23 before 84.5 after 83.5
Feb 24 before 83.5 after 82.7
Feb 25 before 82.3 after 81.5
Feb 26 before 81.7 after 80.7
Feb 27 before 81.5 after 81.0
March 2 before 81.5 after 80.7
March 3 before 80.5 after 79.6

Thank u
 
Hatua ya kwanza ni kujua kwa siku unatakiwa kula calories ngapi ili kupunguza uzito..Zen ukishajua jitahidi kupangalia msosi wako vizuri na usizidi hizo calories unazotakiwa kula kwa siku

N.B Jitahidi kuepuka vyakula vyenye calories nyingi
 
Aisee we bonge sana. Anyway punguza au acha kunywa chai na vitu vya sukari sukari sana. Acha vyakula vyenye wanga na mafuta (chips, mayai, nyama, wali, dona). Ukila kula kidogo sana. Kula vyakula vya asili mf ugali ulokobolewa n.k
 
Tumia papuchi yako

Fanya sex twice daily kuanzia miezi miwili kuendelea (bao kuanzia tatu kila mkifanya). Mi nilikuwa na girlfriend alikuwa so SWEET, nikawa nakaa nae unofficially, alipunguza KILO kibao baada ya hayo mazoezi tuliokuwa tunafanya.
 
Don't do diets ni kutesa mwili,change your lifestyle eat healthy na Fanya mazoezi...that's the secret of maintaining my weight haiongezeki for years labda kupungua
Mwili wako unahitaji all nutrients at the right proportion ukianza Fanya midiet wooo utaanguka kwa hypoglycemia
Punguza carbohydrates,more proteins, veggies,maji na mazoezi and this should be your lifestyle enjoy it, sio tu kwa ajili ya kupungua
 

jambo kubwa wengi tusolijua weight management ni factor ya kitu kimoja tu ambacho ni body metabolism.
body metabolism ndiyo sasa inayochangiwa na vitu vingi ikiwemo what you eat an how you live and on top of that your blood group.

kwanza niambie blood group yako, ikiwa wewe ni blood group O jua kwamba kwa diet pekee na mazoez huwez kupungua sana yaani utapungua kg not more than 2 kg ndani ya miez 6. ni kwasabb metabolism kwa blood group hii ni ndogo na pia body assimilation ni kubwa zaidi.

watu wa group B wao hupungua kirahisi na wengi sio wanene as metabolism kwao ni kubwa na assimilation ni ndogo sana hii iko hata kwa A na AB.

ikiwa wewe ni O tumia thermogenic foods, pia cut your appetite kwa kunywa maji mengi sana usile vyakula vyenye fiber nyingi kama kabichi. wala wanga kama njegere na viazi.

hakikisha unafanya mazoez not less that 30 minutes, ila pia uwe makin isije ikawa unaongeza appetite kwa hayo mazoezi. jitahd kupunguza appetite yako kawa kunywa maji kwa wingi kama lita 3.5 kwa siku na hapo uanze kunywa asbh kabla ya kutoka kitandani japo mil500 ivi.

pima calorie lkatika milo yako ya kila siku. hakikisha hutumii calorie zaid ya 1000 kwa milo yako ya siku nzima. hili ni muhimu sanaaaaa. unaweza uka nunua calorie count machine itakusaidia. mafuta, siagi na carbs zina calorie kubwa zaid so zipunguze ama usitumie kabisa.

kibiolojia ukipunguza calorie intake japo metabolism ni dogo lkn vitatosha kukufanya uishi bila kustarve, na pia mwili ukishazoea kuassimilate low calorie automatic utajiswitch into it na hivyo kulazimika kupungua ili hizi calorie zitoshee. mazoezi yatakufanya uburn unwanted fats and carbs hivyo havitahifadhiwa mwilin. usipofanya hivyo utanenepa tu kwan mwili ukizoea kula kidogo utakiassimilate chote bila kutoa hata kidogo so wewe ndo unatakiwa uulazimishe mwili kutoa kwa njia ya respiration

kama sieleweki niambie nadhan akili leo haijakaa kueleweka vizuri
 
Na paste hapa hizi ni personal notes zangu za vipimo vya uzito, nilikua napima kabla ya kuingia gym na baada ya kufanya mazoezi. Ndani ya miezi 6 (Nov 2014- May 2015) ya commitment ya kuburn calories 1000 kila siku kwa siku 6 za wiki nilipunguza kilo 22 kutoka 96kg mpaka 83.6Kg. Nachoweza sema ni kwamba mambo ya diet hayasaidii sana kwasababu sio sustainable, diet sio lifestyle unayoweza dumu nayo na hivyo cha msingi ni kufanya kitu ambacho unaweza dumu nacho. Punguza Carbohydrates kama ngano, ugali na mchele, principle yangu mimi ni kwamba mboga iwe nyingi sana kuliko hizo main dishes za carbohydrates (ikiwezekana achana nazo kabisa), sijanunua sukari tangu mwaka jana na nimepunguza sana vitu vya sukari. Hayo machache yatakusaidia, ninge paste hizo data mpaka May ili uone kwamba ni rahisi kupunguza uzito hata 2 kwa wik

Fitness training

Feb 3 reading= 85.5 after workin out
Feb 4 before 84.6 after 83.7
Feb 5 before 83.6 after 83.6
Feb 6 before 83.6 after 83.3
Feb 7 mapumziko
Feb 10 before 84.6 after 83.8
Feb 11 before 84.3 after 83.6
Feb 12 before 84.5 after 83.5
Feb 14 before 84.5 after 84.0
Feb 15 before 84.6 after 84.0
Feb 16 before 85.2 after 84.5
Feb 22 before 84.5 after 83.5
Feb 23 before 84.5 after 83.5
Feb 24 before 83.5 after 82.7
Feb 25 before 82.3 after 81.5
Feb 26 before 81.7 after 80.7
Feb 27 before 81.5 after 81.0
March 2 before 81.5 after 80.7
March 3 before 80.5 after 79.6


your blood group please.................if you dont mind
 
O
jambo kubwa wengi tusolijua weight management ni factor ya kitu kimoja tu ambacho ni body metabolism.
body metabolism ndiyo sasa inayochangiwa na vitu vingi ikiwemo what you eat an how you live and on top of that your blood group.

kwanza niambie blood group yako, ikiwa wewe ni blood group O jua kwamba kwa diet pekee na mazoez huwez kupungua sana yaani utapungua kg not more than 2 kg ndani ya miez 6. ni kwasabb metabolism kwa blood group hii ni ndogo na pia body assimilation ni kubwa zaidi.

watu wa group B wao hupungua kirahisi na wengi sio wanene as metabolism kwao ni kubwa na assimilation ni ndogo sana hii iko hata kwa A na AB.

ikiwa wewe ni O tumia thermogenic foods, pia cut your appetite kwa kunywa maji mengi sana usile vyakula vyenye fiber nyingi kama kabichi. wala wanga kama njegere na viazi.

hakikisha unafanya mazoez not less that 30 minutes, ila pia uwe makin isije ikawa unaongeza appetite kwa hayo mazoezi. jitahd kupunguza appetite yako kawa kunywa maji kwa wingi kama lita 3.5 kwa siku na hapo uanze kunywa asbh kabla ya kutoka kitandani japo mil500 ivi.

pima calorie lkatika milo yako ya kila siku. hakikisha hutumii calorie zaid ya 1000 kwa milo yako ya siku nzima. hili ni muhimu sanaaaaa. unaweza uka nunua calorie count machine itakusaidia. mafuta, siagi na carbs zina calorie kubwa zaid so zipunguze ama usitumie kabisa.

kibiolojia ukipunguza calorie intake japo metabolism ni dogo lkn vitatosha kukufanya uishi bila kustarve, na pia mwili ukishazoea kuassimilate low calorie automatic utajiswitch into it na hivyo kulazimika kupungua ili hizi calorie zitoshee. mazoezi yatakufanya uburn unwanted fats and carbs hivyo havitahifadhiwa mwilin. usipofanya hivyo utanenepa tu kwan mwili ukizoea kula kidogo utakiassimilate chote bila kutoa hata kidogo so wewe ndo unatakiwa uulazimishe mwili kutoa kwa njia ya respiration

kama sieleweki niambie nadhan akili leo haijakaa kueleweka vizuri

Bila ya ww kujua umenisaidia sana na nimegain kitu..thanks a lot nitaifanyia kazi
 
Yani nina 92kg nataka kupunguza uzito wa mwili at least nifike 80 if not 75 nataka mnishauri diet nzuri itakayo nisaidia nafanya mazoezi kidogo though sitaki dawa za kunywa ili nipungue uzito no.

Nataka ushauri wa diet tuu my meal arrangement basi.

(pls nipo serious maana kuna wengine wanapenda kutoa wenzao off mood kwa comments zisizo na maana)
Laki Sita io machine boss, wiki nne tu
 

Attachments

  • 1449563086598.jpg
    1449563086598.jpg
    31.2 KB · Views: 220
nakushauri kama mtaalamu wa Michezo


Utangulizi
Suala la unene overweight kwa kjamii za watanzania kwa sasa imekuwa shida sana kwa sababu ya lifestyle yetu na vyakula tunavyokula. Watanzania wengi hawashiriki kwenye michezo kama watu wa nchi zingine na dhana ya kwamba mtu mwenye kitambi ndiye mwenye mafanikio inaharibu sana.

Mtu anaweza akawa na mwili mzuri tu lakini punde tu anapopata hela mwili unaanza kubadirika. wengine wanaona kitambi ni symbol ya mafanikio na maisha mazuri. Kumbe kitambi kiuhalisia ni accumulation ya excess food kwenye mwili wetu.

Mwili una tabia ya kutanza excess food kwa ajili ya matumizi ya baadaye au kwenye kipindi kigumu. Unatakiwa ule kulingana na kazi unayofanya kama unafanya kazi ngumu physical ule sana kama kazi zako siyo physical ule kidogo kwa sababu mwili utatumia kiasi kidogo na kingine kitatunzwa na mwili. vyakula vinatunzwa sehemu mbali mbali inform of fats. fats inayotunzwa kwenye tumbo baada ya muda inakuwa kitambi

ushauri

fanya kwanza kipimo cha BMI. BMi ni uhusiano wa urefu wako na uzito wako ikiwa na maana ya ukiwa mrefu unaweza ukawa na uzito na jinsi mtu alivyo mfupi ndivyo anatakiwa awe na uzito mdogo. BMI inaonyesha kama mtu ni mwembamba, kawaida au mnene.

Pincipal ya kupunguza unene ni kupunguza chakula unachokula na kuongeza mazoezi. Ni vizuri pia ukapata mtaalamu wa mazoezi ili uweze kufanya mazoezi sahihi. Kufanya tu diet bila kufanya mazoezi ni kupoteza muda na unaweza chukua muda mrefu bila kuloose hata kg 1.

Ni vizuri pia ukaepuka matumizi ya madawa ya kupunguza uzito kwa sababu chemicals zote siyo nzuri kiafya na hao wote wanaouza hizo dawa hawawezi eleza namna ambavyo madawa yao yanapunguza uzito.

kumbuka hii programu ni ya kudumu ukiacha kufanya diet na mazoezi mwili unarudi kama kawaida
kila la heri
 
asubuhi kunywa maji ya moto ya limao mazoezi yasiyopungua dakika 30 kila siku kula mboga za majani nyingi kuliko ugali au wali akikisha unaacha kula kwa wingi chakula cha wanga na mafuta wewe use unakula mboga na matunda sana mwezi tu utapungua ili usiache mazoezi na kufanya hivyo mwili utarudi kama mwanzo na hakikisha maji unakunywa si chini ya Lita 3 kwa siku
 
Back
Top Bottom