Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Thank u
Na paste hapa hizi ni personal notes zangu za vipimo vya uzito, nilikua napima kabla ya kuingia gym na baada ya kufanya mazoezi. Ndani ya miezi 6 (Nov 2014- May 2015) ya commitment ya kuburn calories 1000 kila siku kwa siku 6 za wiki nilipunguza kilo 22 kutoka 96kg mpaka 83.6Kg. Nachoweza sema ni kwamba mambo ya diet hayasaidii sana kwasababu sio sustainable, diet sio lifestyle unayoweza dumu nayo na hivyo cha msingi ni kufanya kitu ambacho unaweza dumu nacho. Punguza Carbohydrates kama ngano, ugali na mchele, principle yangu mimi ni kwamba mboga iwe nyingi sana kuliko hizo main dishes za carbohydrates (ikiwezekana achana nazo kabisa), sijanunua sukari tangu mwaka jana na nimepunguza sana vitu vya sukari. Hayo machache yatakusaidia, ninge paste hizo data mpaka May ili uone kwamba ni rahisi kupunguza uzito hata 2 kwa wik
Fitness training
Feb 3 reading= 85.5 after workin out
Feb 4 before 84.6 after 83.7
Feb 5 before 83.6 after 83.6
Feb 6 before 83.6 after 83.3
Feb 7 mapumziko
Feb 10 before 84.6 after 83.8
Feb 11 before 84.3 after 83.6
Feb 12 before 84.5 after 83.5
Feb 14 before 84.5 after 84.0
Feb 15 before 84.6 after 84.0
Feb 16 before 85.2 after 84.5
Feb 22 before 84.5 after 83.5
Feb 23 before 84.5 after 83.5
Feb 24 before 83.5 after 82.7
Feb 25 before 82.3 after 81.5
Feb 26 before 81.7 after 80.7
Feb 27 before 81.5 after 81.0
March 2 before 81.5 after 80.7
March 3 before 80.5 after 79.6
Thank u
Na paste hapa hizi ni personal notes zangu za vipimo vya uzito, nilikua napima kabla ya kuingia gym na baada ya kufanya mazoezi. Ndani ya miezi 6 (Nov 2014- May 2015) ya commitment ya kuburn calories 1000 kila siku kwa siku 6 za wiki nilipunguza kilo 22 kutoka 96kg mpaka 83.6Kg. Nachoweza sema ni kwamba mambo ya diet hayasaidii sana kwasababu sio sustainable, diet sio lifestyle unayoweza dumu nayo na hivyo cha msingi ni kufanya kitu ambacho unaweza dumu nacho. Punguza Carbohydrates kama ngano, ugali na mchele, principle yangu mimi ni kwamba mboga iwe nyingi sana kuliko hizo main dishes za carbohydrates (ikiwezekana achana nazo kabisa), sijanunua sukari tangu mwaka jana na nimepunguza sana vitu vya sukari. Hayo machache yatakusaidia, ninge paste hizo data mpaka May ili uone kwamba ni rahisi kupunguza uzito hata 2 kwa wik
Fitness training
Feb 3 reading= 85.5 after workin out
Feb 4 before 84.6 after 83.7
Feb 5 before 83.6 after 83.6
Feb 6 before 83.6 after 83.3
Feb 7 mapumziko
Feb 10 before 84.6 after 83.8
Feb 11 before 84.3 after 83.6
Feb 12 before 84.5 after 83.5
Feb 14 before 84.5 after 84.0
Feb 15 before 84.6 after 84.0
Feb 16 before 85.2 after 84.5
Feb 22 before 84.5 after 83.5
Feb 23 before 84.5 after 83.5
Feb 24 before 83.5 after 82.7
Feb 25 before 82.3 after 81.5
Feb 26 before 81.7 after 80.7
Feb 27 before 81.5 after 81.0
March 2 before 81.5 after 80.7
March 3 before 80.5 after 79.6
jambo kubwa wengi tusolijua weight management ni factor ya kitu kimoja tu ambacho ni body metabolism.
body metabolism ndiyo sasa inayochangiwa na vitu vingi ikiwemo what you eat an how you live and on top of that your blood group.
kwanza niambie blood group yako, ikiwa wewe ni blood group O jua kwamba kwa diet pekee na mazoez huwez kupungua sana yaani utapungua kg not more than 2 kg ndani ya miez 6. ni kwasabb metabolism kwa blood group hii ni ndogo na pia body assimilation ni kubwa zaidi.
watu wa group B wao hupungua kirahisi na wengi sio wanene as metabolism kwao ni kubwa na assimilation ni ndogo sana hii iko hata kwa A na AB.
ikiwa wewe ni O tumia thermogenic foods, pia cut your appetite kwa kunywa maji mengi sana usile vyakula vyenye fiber nyingi kama kabichi. wala wanga kama njegere na viazi.
hakikisha unafanya mazoez not less that 30 minutes, ila pia uwe makin isije ikawa unaongeza appetite kwa hayo mazoezi. jitahd kupunguza appetite yako kawa kunywa maji kwa wingi kama lita 3.5 kwa siku na hapo uanze kunywa asbh kabla ya kutoka kitandani japo mil500 ivi.
pima calorie lkatika milo yako ya kila siku. hakikisha hutumii calorie zaid ya 1000 kwa milo yako ya siku nzima. hili ni muhimu sanaaaaa. unaweza uka nunua calorie count machine itakusaidia. mafuta, siagi na carbs zina calorie kubwa zaid so zipunguze ama usitumie kabisa.
kibiolojia ukipunguza calorie intake japo metabolism ni dogo lkn vitatosha kukufanya uishi bila kustarve, na pia mwili ukishazoea kuassimilate low calorie automatic utajiswitch into it na hivyo kulazimika kupungua ili hizi calorie zitoshee. mazoezi yatakufanya uburn unwanted fats and carbs hivyo havitahifadhiwa mwilin. usipofanya hivyo utanenepa tu kwan mwili ukizoea kula kidogo utakiassimilate chote bila kutoa hata kidogo so wewe ndo unatakiwa uulazimishe mwili kutoa kwa njia ya respiration
kama sieleweki niambie nadhan akili leo haijakaa kueleweka vizuri
your blood group please.................if you dont mind
Laki Sita io machine boss, wiki nne tuYani nina 92kg nataka kupunguza uzito wa mwili at least nifike 80 if not 75 nataka mnishauri diet nzuri itakayo nisaidia nafanya mazoezi kidogo though sitaki dawa za kunywa ili nipungue uzito no.
Nataka ushauri wa diet tuu my meal arrangement basi.
(pls nipo serious maana kuna wengine wanapenda kutoa wenzao off mood kwa comments zisizo na maana)
Haya ndo majibu ya https://www.jamiiforums.com/mahusia...iss-being-in-relationship-5.html#post14767796Yani nina 92kg nataka kupunguza uzito wa mwili at least nifike 80 if not 75 nataka mnishauri diet nzuri itakayo nisaidia nafanya mazoezi kidogo though sitaki dawa za kunywa ili nipungue uzito no.
Nataka ushauri wa diet tuu my meal arrangement basi.
(pls nipo serious maana kuna wengine wanapenda kutoa wenzao off mood kwa comments zisizo na maana)