jambo kubwa wengi tusolijua weight management ni factor ya kitu kimoja tu ambacho ni body metabolism.
body metabolism ndiyo sasa inayochangiwa na vitu vingi ikiwemo what you eat an how you live and on top of that your blood group.
kwanza niambie blood group yako, ikiwa wewe ni blood group O jua kwamba kwa diet pekee na mazoez huwez kupungua sana yaani utapungua kg not more than 2 kg ndani ya miez 6. ni kwasabb metabolism kwa blood group hii ni ndogo na pia body assimilation ni kubwa zaidi.
watu wa group B wao hupungua kirahisi na wengi sio wanene as metabolism kwao ni kubwa na assimilation ni ndogo sana hii iko hata kwa A na AB.
ikiwa wewe ni O tumia thermogenic foods, pia cut your appetite kwa kunywa maji mengi sana usile vyakula vyenye fiber nyingi kama kabichi. wala wanga kama njegere na viazi.
hakikisha unafanya mazoez not less that 30 minutes, ila pia uwe makin isije ikawa unaongeza appetite kwa hayo mazoezi. jitahd kupunguza appetite yako kawa kunywa maji kwa wingi kama lita 3.5 kwa siku na hapo uanze kunywa asbh kabla ya kutoka kitandani japo mil500 ivi.
pima calorie lkatika milo yako ya kila siku. hakikisha hutumii calorie zaid ya 1000 kwa milo yako ya siku nzima. hili ni muhimu sanaaaaa. unaweza uka nunua calorie count machine itakusaidia. mafuta, siagi na carbs zina calorie kubwa zaid so zipunguze ama usitumie kabisa.
kibiolojia ukipunguza calorie intake japo metabolism ni dogo lkn vitatosha kukufanya uishi bila kustarve, na pia mwili ukishazoea kuassimilate low calorie automatic utajiswitch into it na hivyo kulazimika kupungua ili hizi calorie zitoshee. mazoezi yatakufanya uburn unwanted fats and carbs hivyo havitahifadhiwa mwilin. usipofanya hivyo utanenepa tu kwan mwili ukizoea kula kidogo utakiassimilate chote bila kutoa hata kidogo so wewe ndo unatakiwa uulazimishe mwili kutoa kwa njia ya respiration
kama sieleweki niambie nadhan akili leo haijakaa kueleweka vizuri