Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Gunia moja kilo 100 tumia Basi tu Mkuu Kama ni maharage.Habari wakuu. Naomba mwenye usafiri au mwenye kujua bei za kusafisha mazao kutoka Karagwe kwenda Dar anijuze ni shilingi ngapi kwa gunia la kilo 100. Asanteni
Asante mkuu. Ni maharage ila nahitaji kusafirisha magunia mengi. Unajua bei ya kusafirisha gunia?Gunia moja kilo 100 tumia Basi tu Mkuu Kama ni maharage.
Ebu wasiliana Mshana Jr labda anaweza kukupa maelezo kuhusu kusafishaAsante mkuu. Ni maharage ila nahitaji kusafirisha magunia mengi. Unajua bei ya kusafirisha gunia?
Asante mkuu. Ni maharage ila nahitaji kusafirisha magunia mengi. Unajua bei ya kusafirisha gunia?
Thanks a lot mkuu. Nitakupigia0688115131 nipigie kesho satano au sanne asubuhi nkuunganishe na mtu...usipate shida problem solved