Edgar 8900
Member
- Jun 8, 2022
- 24
- 9
- Thread starter
- #21
Ngoja ni fighthuna qualifications za kuja chuo. please jiajiri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja ni fighthuna qualifications za kuja chuo. please jiajiri
Mimi nipo SUA hapa watu wa HGE kila mwaka wanasoma agribusiness
Acha kupotosha watu . Kama kigezo lazima mtu aliyesoma biology mbona EGM, PCM,ECA wanasoma?
Kitu Kama hufahamu Bora unyamaze vigezo vinavyotakiwa kwa mtu aliyesoma combination ya uchumi Ni Geography , Economics na basic mathematics au pure mathematics ngoja ni fight
Sio kweliAgribusiness hawezi kupata mtu alosoma HGE mna kuna mabadiliko saivi ple SUA wntka lazima usome BIOLOGY
Aisee sasa unabisha nini wakati mimi nimemaliza hpo SUA tena kozi iyo iyo ya AgribusinessSio kweli
Achaga ubishi uso na mana mimi nimemaliza hpo SUA na intake ya mwisho ya HGE Ni intake ya 2020/2021Mimi nipo SUA hapa watu wa HGE kila mwaka wanasoma agribusiness
Acha kupotosha watu . Kama kigezo lazima mtu aliyesoma biology mbona EGM, PCM,ECA wanasoma?
Kitu Kama hufahamu Bora unyamaze vigezo vinavyotakiwa kwa mtu aliyesoma combination ya uchumi Ni Geography , Economics na basic mathematics au pure mathematics .
Dah hizi ID fake zinapoteza sana watu hya lete qualification za kusoma Agribusiness SuaSi kweli.
Mi nakushauri ili usije kujuta kasome kozi pale chuo Cha maji ni mpya inaanza mwaka huu inaitwa "Community development in water and sanitation" sifa unazoJamani Nina nimemaliza A-level kombi HGE na kupata
gs-E
history-D
geo-C
economy-D
Nahitaji kusoma Kati ya SUA na ARDHI naomba ushauri kozi gani inanifaa
Wewe ndio ulitakiwa ulete sehem wameandika mtu aliye soma economics haruhusiwi kusoma "agro economics".Dah hizi ID fake zinapoteza sana watu hya lete qualification za kusoma Agribusiness Sua
wapi nimesema mtu alosoma economics haruhusiwi?Wewe ndio ulitakiwa ulete sehem wameandika mtu aliye soma economics haruhusiwi kusoma "agro economics".
Mabadiliko yameanza lini?Agribusiness hawezi kupata mtu alosoma HGE mna kuna mabadiliko saivi ple SUA wntka lazima usome BIOLOGY
Shimo lipi?Mkuu unampeleka kwenywe shimo kabisa[emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe ndiyo unampoteza kozi mpya siyo za kuzikimbiliaMi nakushauri ili usije kujuta kasome kozi pale chuo Cha maji ni mpya inaanza mwaka huu inaitwa "Community development in water and sanitation" sifa unazo
Acha uongo kinachoangaliwa ni guidebook ya TCUwapi nimesema mtu alosoma economics haruhusiwi?
Nilichokisema bila ya biology ya Advance husomi iyo kozi
Ushawahi kufika SUA ww?Acha uongo kinachoangaliwa ni guidebook ya TCU
Intake ya mwaka huu ndo imeanza iyo systemMabadiliko yameanza lini?
Usiishi kwa kukariri. Soma guide book.Aisee sasa unabisha nini wakati mimi nimemaliza hpo SUA tena kozi iyo iyo ya Agribusiness
msiwe wajuaji wakati hmna mlijualo bhna
Unampeleka akasome LMV na umeona passmark zake zilivyoShimo lipi?
Ujinga ukizidi mwishowe matope tuUsiishi kwa kukariri. Soma guide book.
Zama zimebadilika.