At Calvary
JF-Expert Member
- Aug 22, 2018
- 4,533
- 3,595
Kama ulivyokujaa.Ujinga ukizidi mwishowe matope tu
Achana na hearsay Leta uthibitisho.! Reference yako ni nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama ulivyokujaa.Ujinga ukizidi mwishowe matope tu
Mimi nasoma AEA mwaka wa 3 kwahiyo najua ninachozungumza acha kupotosha watu . Hiyo dhambi ya kupotosha watu itakuja kukutafuna sababu unapoteza future za watu kwa kuzusha vitu vya uongo.Achaga ubishi uso na mana mimi nimemaliza hpo SUA na intake ya mwisho ya HGE Ni intake ya 2020/2021
hlf naongea kitu ninachokijua mna mimi nimemaliza iyo course ila kwa saivi hawachukui watu wa HGE kawaulize wanafunzi wa AEA kma unaona uongo
Kama ushawahi kuona ramani basi jua moja kati ya application yake ndio hiyo. Ni mchanganyiko wa IT na geography. In apply kwenye kila sekta unayo ijua! Ni kozi nzuri kujiajiri kama ukiwa smart.msaada, Hii kozi ya geographical information system and Remote sensing ina husu nini haswa...?
Huyo ni moja kati ya idiots tulio nao humu JF. Usipoteze muda wako.Mimi nasoma AEA mwaka wa 3 kwahiyo najua ninachozungumza acha kupotosha watu . Hiyo dhambi ya kupotosha watu itakuja kukutafuna sababu unapoteza future za watu kwa kuzusha vitu vya uongo.
HGE,EGM,ECA agribusiness ni Uwanja wa nyumbani sababu ya msingi mzuri wa Economics , tofauti hata na CBG ingawa nao wanaruhusiwa kusoma
Kuna vitu unaandika unaoneka mpumbavu.wapi nimesema mtu alosoma economics haruhusiwi?
Nilichokisema bila ya biology ya Advance husomi iyo kozi
Aisee sijamtusi mtu hpa jiheshimu sikujui hunijui inshort hatujuani kwaio kitulize tuKuna vitu unaandika unaoneka mpumbavu.
Hii ni TCU manual guide ya mwaka huu 2022/2023 . Sijui kwanini Watu wanapenda kuzungumza vitu wasivyovijuaHiyo hapo ya mwaka huuu unaweza fatilia mwenyeweView attachment 2257605
SawaMimi nasoma AEA mwaka wa 3 kwahiyo najua ninachozungumza acha kupotosha watu . Hiyo dhambi ya kupotosha watu itakuja kukutafuna sababu unapoteza future za watu kwa kuzusha vitu vya uongo.
HGE,EGM,ECA agribusiness ni Uwanja wa nyumbani sababu ya msingi mzuri wa Economics , tofauti hata na CBG ingawa nao wanaruhusiwa kusoma
Nimekuelewa vizuri sana na sisi ambao tunapitia kuangalia kwa umakini vigezo vya kozi mbalimbali tunaelewa ,huyu jamaa amwangalie vigezo vya AEA amevisoma lakini Hajavielewa ndio maana anasoma hicho anachokisema.Mimi nasoma AEA mwaka wa 3 kwahiyo najua ninachozungumza acha kupotosha watu . Hiyo dhambi ya kupotosha watu itakuja kukutafuna sababu unapoteza future za watu kwa kuzusha vitu vya uongo.
HGE,EGM,ECA agribusiness ni Uwanja wa nyumbani sababu ya msingi mzuri wa Economics , tofauti hata na CBG ingawa nao wanaruhusiwa kusoma
Sio kweli,soma vizuri vigezo ueleweSi kweli.
Ardhi.
1. Land valuation
2. Accountancy
3. Geographical information systems
4. Building economics
SUA
1. Agribusiness and agro economics (AEA)
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]BAED pale SUA
Hiyo GIS ni kozi nzr sana...Aende accountancy hayo mengine akimaliza shule atasota sana kitaa
Sasa watu waone hapa.Hii ni TCU manual guide ya mwaka huu 2022/2023 . Sijui kwanini Watu wanapenda kuzungumza vitu wasivyovijua View attachment 2257772
Mi nmetembelea sana career website, course ambazo zimetangaziwa sana ajira ni hii Accountancy hio yako hapana aseeHiyo GIS ni kozi nzr sana...
Na ina soko...
Kila sekta inayohusika na utility management wanahitaji GIS expert
Twende na uhalisiaHiyo GIS ni kozi nzr sana...
Na ina soko...
Kila sekta inayohusika na utility management wanahitaji GIS expert
Ok ...lakin wanaosoma accoutancy ni wangap...Mi nmetembelea sana career website, course ambazo zimetangaziwa sana ajira ni hii Accountancy hio yako hapana asee
Ndyeta hizo ndo kauli zake kila mwaka, Lakini kiuhalisia hauwezi kuzitenganisha combination za Economics (HGE,EGM,ECA) na agribusiness , hata jina la course tu linashabihiana na Economics.Sawa
Mbona tuliambiaa na ndyeta hawachukui wasosoma biology?
Watu wanakariri sana, wanashindwa kutambua ulimwengu wa sasa ni wateknolojia. Pesa zote zipo huko kwa technologiesOk ...lakin wanaosoma accoutancy ni wangap...
Mimi nilisoma Geoinformatics ambayo inatolewa Ardhi University miaka minne na darasa letu tulikuwa 20 tu na wote sasa hiv tuna ajira..siku hiz hio kozi imekatwa katwa na wameanzisha gis and remote sensing nk
GIS ina application kuanzia
TPDC,TANAPA, WATER AUTHORITIES, TANESCO, TAWILI, AIRPORTS, MARINE, LAND SURVEY, CONSTRUCTION NK
Lakin sikulaumu sana maana watz wengi tumekalili kozi zenye ajira kama hiyo accoutancy,engineers sijui docta..wanasahau kuna kazi kama Geospatial Analyst, GIS experts nk na wanalipwa hela ndefu tu kwenye makampuni makubwa....
Huwezi linganisha Kozi ya GIS na kozi yoyote ya biashara...bila kusahau GIS mtu anajiajiri kabisa
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app