hauzeeee45
Member
- Jul 3, 2024
- 23
- 71
Kama uzi unavyosema hapo nimemaliza Diploma ya NURSING AND MIDWIFERY Ufaulu GPA 4.8
Nina malengo ya kusoma MUHAS AU UDSM, nimejaribu kupitia guidebook nimeona kuna course naweza kuapply kupitia course yangu ndugu zangu hvi naweza kupata nafasi pale kwa huo ufaulu
Pia naona admision capacity 5, nauliza pia ina maana wanachukua watu wa 5 kwa mwaka waliomaliza Diploma au zile mbwembwe tu pale?
Nina malengo ya kusoma MUHAS AU UDSM, nimejaribu kupitia guidebook nimeona kuna course naweza kuapply kupitia course yangu ndugu zangu hvi naweza kupata nafasi pale kwa huo ufaulu
Pia naona admision capacity 5, nauliza pia ina maana wanachukua watu wa 5 kwa mwaka waliomaliza Diploma au zile mbwembwe tu pale?