Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daaah nikikumbuka msuli wa diploma niliopitia anyway ahsante mimi ni zeroDiploma wengi ni zero kichwani maana wanafaurishwa
Kweli kaka nina malengo na nurse ansthesia muhasKijana unafuta majibu sahih alafu unapoteza muda kufikiri upya. Umejijibu vyema kabisa.
Ukipata soma Anesthesia.
Mimi sio kklaza broo nilimaliza form 4 na ufaulu mzr tu sikufel hata somo 1 ila niliona bora niende chuoAachane kabisa na Muhas na UDSM
Pale wanachukua vichwa waliofaulu hasa
Sio utani hizo course
AdvanceWataangalia matokeo yako ya kidato cha 4 na 6 ulifanyaje. Kisha watarudi kuangalia chuo ulichopata hiyo Gpa ya 4.8 .
Kumbuka muhas na udsm huwa wanachukua wanafunzi kutoka diploma wachache sana yaani sana.
Mfano upande wa afya MD hawafiki hata 10
Hapana mm nazungumzia tuliotoka diploma sio wa advance advance wana guideline yao na wana capacity zao chiefHapo kijana kupata ni ishu yaan madogo yamefaulu mno inawezekana aliepata div 1 ya 4 akakosa muhas itakuwa ww
Ungetaja na hizo programme tujue tunakushauri vipi.
Nakuombea ufanikiwe asee.Kweli kaka nina malengo na nurse ansthesia muhas
mhhh sasa mbona admission capacity ya hiyo hapo siyo 5Kweli kaka nina malengo na nurse ansthesia muhas
Nishaaaply naomba bahati tu iwe upande wanguKwa ufaulu huo achana na ligi za hivyo vyuo viwili hutopata nafasi..tafuta ligi ya size yako kwenye vyuo vingine.
Mkuu, shida ya jukwaa letu ni kuwa sikuhizi limevamiwa na watu wengi wasiojielewa kutwa kukatisha vijana tamaa na kutoa lugha za ajabuTutegemee nyuzi nyingi dizaini hii ...
Wale wajuzi wa haya masuala msichoke kuwasaidia hawa watu sio mwisho wa siku mnakuja kuwalaumu, kuwasema vibaya na kuwakatisha tamaa wakizipata hizo degree.
Hapana huwa wanachukua form six kwa qualification zake na idadi yake na diploma hivyohivyoHata ungekua wewe ndio mkuu wa chuo, assume una nafasi na una watu wawili wanaomba.
Wa kwanza ana div 1 ya 4 ya fom 6 pcb.
Wa pili ana gpa ya 4.8 diploma.
Je ungempa nani nafasi? Jijibu mwenyewe.
Form ni ngumu ila ina value kuliko diploma linapokuja swala la kuomba chuo kikuu/degree.
Chang'ombeYa katavi au ostabey
View attachment 3042389
mitihani ya nacte hiyo, siku hizi vyuoni wanasomea mitihani ndio wakija kazini hata ukimwambia Fanya cannulation kwa mgonjwa anatetemeka mikono.Umesoma chuo gani hicho hadi uwe na overall gpa ya 4.8?