Nahitaji kutimiza ndoto yangu ya muda mrefu ya udakitari

Nahitaji kutimiza ndoto yangu ya muda mrefu ya udakitari

Rhymes

New Member
Joined
Jul 11, 2022
Posts
1
Reaction score
2
Poleni na majukumu ya kila siku ndugu zangu, nimemaliza degree ya kwanza ya business administration na nina kazi yangu binafsi kwa sasa lakini haikuwa ndoto yangu ilinilazimu kusoma Ili nipate kwanza kazi ya kufanya.

Ndoto yangu ni kuwa daktari na sikuweza kutimiza vigezo kwenye masomo ya science Kwani physics nilipata F, Chemistry D, Biology C na Mathematics D, nahitaji kurudia mitihan ya form 4 na 6 kwa upande wa science, ( physics, Chemistry na Mathematics).

Hivyo naombeni kujua utaratibu uko vipi hapo.
 
Poleni na majukumu ya kila siku ndugu zangu, nimemaliza degree ya kwanza ya business administration na nina kazi yangu binafsi kwa sasa lakini haikuwa ndoto yangu ilinilazimu kusoma Ili nipate kwanza kazi ya kufanya.

Ndoto yangu ni kuwa daktari na sikuweza kutimiza vigezo kwenye masomo ya science Kwani physics nilipata F, Chemistry D, Biology C na Mathematics D, nahitaji kurudia mitihan ya form 4 na 6 kwa upande wa science, ( physics, Chemistry na Mathematics).

Hivyo naombeni kujua utaratibu uko vipi hapo.
Unatafuta kuchanganyikiwa tu, kwani kwenye maisha unatafuta nini hasa kikubwa?
 
Unatafuta kuchanganyikiwa tu, kwani kwenye maisha unatafuta nini hasa kikubwa?
He is find find his life purpose..Ili maisha yalete maana it's not about kuwa na job or carrier but kile alicholetwa duniani kukitimiza.

Unaweza ukawa na kazi nzuri na hela kibao Ila deep inside ukajihisi mtupu Kwa sababu kile ulichoitwa nacho bado hujakitimiza

Hata Mimi mwanzo nilikuwa natafuta kazi ili nipate hela,nikapata kazi nzuri na hela ila Ila ule msukumo nilikuwa nao tangu utotoni wa kuwa mpiga picha (photography) unazidi kukua Kwa Kasi ndani yangu.. Ipo siku nitaacha kazi ninayofanya na kuwa photographer,kazi ninayoipenda!!
 
Unarudia unafanikiwa siku umeanza kazi unasubiri mshahara wa kwanza unakufa embu acha upumbavu
 
He is find find his life purpose..Ili maisha yalete maana it's not about kuwa na job or carrier but kile alicholetwa duniani kukitimiza.

Unaweza ukawa na kazi nzuri na hela kibao Ila deep inside ukajihisi mtupu Kwa sababu kile ulichoitwa nacho bado hujakitimiza

Hata Mimi mwanzo nilikuwa natafuta kazi ili nipate hela,nikapata kazi nzuri na hela ila Ila ule msukumo nilikuwa nao tangu utotoni wa kuwa mpiga picha (photography) unazidi kukua Kwa Kasi ndani yangu.. Ipo siku nitaacha kazi ninayofanya na kuwa photographer,kazi ninayoipenda!!
Hongera kwa maono yako, mimi tangu mdogo ndoto zangu ni kuwa na kazi ya Urais wa nchi.

Ngoja nichukuwe kadi ya ccm, umenipa imani mpya.
 
Unarudia unafanikiwa siku umeanza kazi unasubiri mshahara wa kwanza unakufa embu acha upumbavu
Kuna jamaa yangu mmoja naye ni mjingamjinga sana, ameng'ang'ania issue za kuchimba madini kwa sababu anapenda hayo mambo bila kuangalia muda unaopotea na kuangalia issue zingine za kujiongeza.
 
Unarudia unafanikiwa siku umeanza kazi unasubiri mshahara wa kwanza unakufa embu acha upumbavu
Ukienda makaburini utajua hata wewe hapo ulipo umeishi sana maana ku na waliofariki wakiwa na wiki moja duniani

Kifo kipo Tu na hakiepukiki, ushindwe kuishi unavyotaka kwa sababu ya kifo na kwani akiendelea na kazi atakiepuka
 
Kuna jamaa yangu mmoja naye ni mjingamjinga sana, ameng'ang'ania issue za kuchimba madini kwa sababu anapenda hayo mambo bila kuangalia muda unaopotea na kuangalia issue zingine za kujiongeza.
Ndio uzuri wa haya mambo ni kuwa akishatusua.. Wewe ndio utakuwa wa kwanza kutoa ushuhuda wa safari yake na hizi negativity zitageuka story ya kuinspire wengine

Ni watu wachache dunia hii wanachukua risk na wachache kati ya hao hutoboa, hivyo ni kheri kumtia mtu moyo kuliko kumuona hamnazo, end of the day kuanguka na kushindwa ndio kujifunza

Muda unapotea ndio lakini at least kuna mambo anajifunza kuliko yule anaekaa idle
 
Hongera kwa kuwa bado unahtj kutimiza ndoto yako ..ila natak nikuulize jambo moja unataka usome advance ili iweje kwamb unataka ukasome Medical doctor(MD) au kuna umuhimu umeuona wa kwenda mpak advance???
 
Poleni na majukumu ya kila siku ndugu zangu, nimemaliza degree ya kwanza ya business administration na nina kazi yangu binafsi kwa sasa lakini haikuwa ndoto yangu ilinilazimu kusoma Ili nipate kwanza kazi ya kufanya.

Ndoto yangu ni kuwa daktari na sikuweza kutimiza vigezo kwenye masomo ya science Kwani physics nilipata F, Chemistry D, Biology C na Mathematics D, nahitaji kurudia mitihan ya form 4 na 6 kwa upande wa science, ( physics, Chemistry na Mathematics).

Hivyo naombeni kujua utaratibu uko vipi hapo.
Udakitari[emoji777]
Udaktari[emoji3581]
 
Guide book ya TCU haitaji MTU sliyerudia masomo..sijaona vigezo
 
Back
Top Bottom