Nahitaji kutumiwa fedha kutoka Kenya, nitazipataje?

X_INTELLIGENCE

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2014
Posts
10,400
Reaction score
14,339
Wanajf naomba mniondoe ushamba kijana mwenzenu. Kuna rafiki yangu yupo Kenya anataka kunitumia salio/fedha, naomba kufahamu njia atakazotumia yeye kunitumia hizo fedha.

Vile vile mnielekeze jinsi nitakavyoweza kupokea hiyo fedha. Ni matumaini yangu kuwa mtalifanyia kazi ombi langu kwa haraka zaidi.

Wenu mpendwa
eddy_mhando
 
Moneygram,western union, safaricom-mpesa au bank transfer pia nmb wana mfumo wa kutuma na kupokea pesa kutoka popote duniani ndan ya 1hour
asante mkuu uko kote nahitajika kuwa na account au nikijieleza tuu nasaidiwa pasipokuwa na account yoyote..?
 
Western union,moneygram haina akaunti , safsricom-mpesa lazima uwe unatumia vodacom mpesa, hio ya nmb sina uzoef nayo hata kidogo niliona matangazo yao tu.. U can confirm kwa kutembelea benki yao, au vituo vya moneygra na western union popote palipo benki ya diamond trust-DTB , benki ya posta tanzania-TPB, Ofisi za posta, BANK OF AFRICA-BOA, equity bank, barclay bank .. n.k
 
juzi nimemtumia mtu pesa kwa mpesa kiasi cha laki 1 na gharama nililipa kiasi cha elfu 2 tu kwa Mpesa
 
M pesa au Western Union
 
hiyo ya
hiyo ya mpesa nazani ndio njia sahihi...je nitataliwa kwenda kwa wakala wa kawaida au kutakuwa na mambo ya kuchange fedha tena..?
 
Ukiangali kwenye menu ya mpesa kunakua na exchange rate yao wanayotumia kwa siku husika.. So wa kenya akituma kama 10000ksh ina maana ww tanzania utapokea tsh (10000ksh x exchange rate=hela unayopokea) unatoa kwa wakala kama kawaida tu
 
Ukiangali kwenye menu ya mpesa kunakua na exchange rate yao wanayotumia kwa siku husika.. So wa kenya akituma kama 10000ksh ina maana ww tanzania utapokea tsh (10000ksh x exchange rate=hela unayopokea) unatoa kwa wakala kama kawaida tu
asante ubarikiwe sana mzee mwenzangu ila wewe ni miongoni mwa member wenye avatar za kuchekesha sana....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…