Nahitaji kutumiwa fedha kutoka Kenya, nitazipataje?

Nahitaji kutumiwa fedha kutoka Kenya, nitazipataje?

haya mkuu
Cheki cheki youtube tu
ila ungekuwa mbelee uko ungekuja na doccumetary yako kuhusu maisha ya nyani maana ndo kitu kinachokuvutia na ungekuwa maarufu sana ... ila duh tz tutaishia kutizama dcumentaries za wenzetu
 
Ni pm namba yako
poa mkuu umenikumbusha mbali sana babu yangu mzee mhando alikuwa anafukuzana na manyani porini kiasi enzi hizo nyani walikuwa wengi sana sasa watu wakikutana na nyani porini ukiita tu MHANDOOO manyani yanakimbia huku na huko...ila kwa sasa babu ni marehem
 
Back
Top Bottom