eden kimario
JF-Expert Member
- Jun 13, 2015
- 10,356
- 16,379
Mume wako yuko pale unapofanyia kazi au mtaa unaoishi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi ukuda unakusaidia nini?Umepotea njia dada huku kumejaa walafi wa papuchi tuu![emoji53][emoji53][emoji53]
Usimkatishe tamaa mkuu!Umepotea njia dada huku kumejaa walafi wa papuchi tuu![emoji53][emoji53][emoji53]
Tayari ushapataHabari zenu wana jf,kuna rafiki yangu amenishauri nije humu ntapata mchumba kwakua yeye kapata humu na wamefunga ndoa.
Naitaji mwanaume anae itaji mwanamke natoa ahadi mapema nitampenda akitokea umri kuanzia miaka 28-35 awe ana uwezo wa kutatua changamoto na mtafutaji,mimi ni mwanamke mwenye upendo wa kweli karibu in PM
Vumilia utapatabado
Nilipata ziro form 6, kama ulipata kama mm watoto watapata square of zero, je niunge tela kwenye PM yako?Habari zenu wana jf,kuna rafiki yangu amenishauri nije humu ntapata mchumba kwakua yeye kapata humu na wamefunga ndoa.
Naitaji mwanaume anae itaji mwanamke natoa ahadi mapema nitampenda akitokea umri kuanzia miaka 28-35 awe ana uwezo wa kutatua changamoto na mtafutaji,mimi ni mwanamke mwenye upendo wa kweli karibu in PM
Huyu jamaa ameniudhi sanaaaHivi ukuda unakusaidia nini?
Nshatua huko mbna hujibunjooooooo
Basi nifate wewe huku pm tulongesioni
Kwenye umri nakushauri anzia 33-42Habari zenu wana jf,kuna rafiki yangu amenishauri nije humu ntapata mchumba kwakua yeye kapata humu na wamefunga ndoa.
Naitaji mwanaume anae itaji mwanamke natoa ahadi mapema nitampenda akitokea umri kuanzia miaka 28-35 awe ana uwezo wa kutatua changamoto na mtafutaji,mimi ni mwanamke mwenye upendo wa kweli karibu in PM