mtanganyika wa kweli
JF-Expert Member
- Apr 12, 2015
- 2,420
- 1,721
magu punguza kukaza wanawake nw dyz hawatongozwi wameamua watongoze
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ili aangukie kwenye vigezo vyako mkuu?Kwenye umri nakushauri anzia 33-42
mmh hii sawa kweli, tuseme wewe ndo unamchumbia? Na pete ya uchumba utamvisha?Habari zenu wana jf,kuna rafiki yangu amenishauri nije humu ntapata mchumba kwakua yeye kapata humu na wamefunga ndoa.
Naitaji mwanaume anae itaji mwanamke natoa ahadi mapema nitampenda akitokea umri kuanzia miaka 28-35 awe ana uwezo wa kutatua changamoto na mtafutaji,mimi ni mwanamke mwenye upendo wa kweli karibu in PM
Mdada unaishi wapi na unajishugulisha na niniHabari zenu wana jf,kuna rafiki yangu amenishauri nije humu ntapata mchumba kwakua yeye kapata humu na wamefunga ndoa.
Naitaji mwanaume anae itaji mwanamke natoa ahadi mapema nitampenda akitokea umri kuanzia miaka 28-35 awe ana uwezo wa kutatua changamoto na mtafutaji,mimi ni mwanamke mwenye upendo wa kweli karibu in PM
Mod naomba mumpe Ban ya mwaka huyu.Umetoa Mimba ngap kwanza ???
You guys. ....Sasa mnashindaga humu kufanya nn.Mnaboa.Dada katoa tangazo mnaleta kejel why mmekuja love connect?? Kajifunzeni kupika vitumbuaaaNi kweli mkuu...napata wasiwasi baada ya miaka kumi ijayo hali itakuwaje
Nina wasiwasi Na Upeo wako. If so why opening this site.You are zero brainuchumba limekuwa tatizo kubwa sana siku hizi, hadi kina dada wanatafuta wachumba waziwazi, something is wrong nowdays.
# kila la kheri bibie#
Dada P usikasirike hao hao wanaokejel ndo wanamfuata PM lkn pia jamii skuhiz imejaa teenagers ndo mana akilizao fupiNina wasiwasi Na Upeo wako. If so why opening this site.You are zero brain
andika ujumbe wako hapa hapaMimi mgeni sijui namna ya ku pm nifanyeje jamani