Nahitaji kuwa mchumba

Nahitaji kuwa mchumba

Habari zenu wana jf,kuna rafiki yangu amenishauri nije humu ntapata mchumba kwakua yeye kapata humu na wamefunga ndoa.
Naitaji mwanaume anae itaji mwanamke natoa ahadi mapema nitampenda akitokea umri kuanzia miaka 28-35 awe ana uwezo wa kutatua changamoto na mtafutaji,mimi ni mwanamke mwenye upendo wa kweli karibu in PM
mmh hii sawa kweli, tuseme wewe ndo unamchumbia? Na pete ya uchumba utamvisha?

Aya ngoja aje kama imeshakuwa ivo siku izi....!
 
Habari zenu wana jf,kuna rafiki yangu amenishauri nije humu ntapata mchumba kwakua yeye kapata humu na wamefunga ndoa.
Naitaji mwanaume anae itaji mwanamke natoa ahadi mapema nitampenda akitokea umri kuanzia miaka 28-35 awe ana uwezo wa kutatua changamoto na mtafutaji,mimi ni mwanamke mwenye upendo wa kweli karibu in PM
Mdada unaishi wapi na unajishugulisha na nini
 
uchumba limekuwa tatizo kubwa sana siku hizi, hadi kina dada wanatafuta wachumba waziwazi, something is wrong nowdays.
# kila la kheri bibie#
Nina wasiwasi Na Upeo wako. If so why opening this site.You are zero brain
 
Back
Top Bottom