Nahitaji kuwa mchumba

mmh hii sawa kweli, tuseme wewe ndo unamchumbia? Na pete ya uchumba utamvisha?

Aya ngoja aje kama imeshakuwa ivo siku izi....!
 
Mdada unaishi wapi na unajishugulisha na nini
 
Ni kweli mkuu...napata wasiwasi baada ya miaka kumi ijayo hali itakuwaje
You guys. ....Sasa mnashindaga humu kufanya nn.Mnaboa.Dada katoa tangazo mnaleta kejel why mmekuja love connect?? Kajifunzeni kupika vitumbuaaa
 
uchumba limekuwa tatizo kubwa sana siku hizi, hadi kina dada wanatafuta wachumba waziwazi, something is wrong nowdays.
# kila la kheri bibie#
Nina wasiwasi Na Upeo wako. If so why opening this site.You are zero brain
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…