Ila kwa taaluma yake akienda mikoa ya pembezoni anaweza akapata kazi za kujishikiza,huku akikusanya mtaji kwa ajili ya mafunzo anayotaka.
Ingia TALA anza nao kidogo kidogo mpka utafikia lengo lako
iyo koz unayotaka ukasome, unaeza pata kila kitu YouTube
kama una kichwa chepesi lakini
Huu ndio ushauri kuna vitu unaweza kujifunza mwenyewe kupitia mtandao, angalia videos you tube hyo laki nne iwe mtaji, mm nilijifunza kushona , kukata nguo kwa kuangalia videos , nika practise kutumia cherehan mwenyewe nyumban hakuna mtu amenifundisha , sasa make up ndio ulipe laki nne, jiongezeNina vitabu vya soft copy kuhusu make up kutoka kwa magwiji wa make up duniani ambavyo ukijifunza utapata mwanga tena kitaalamu zaidi na kwa lugha nyepesi kabisa .
Kama uko tayari ni pm nijue nakutumiaje uvipate.
Asante mkuu ntazingatiaHuu ndio ushauri kuna vitu unaweza kujifunza mwenyewe kupitia mtandao, angalia videos you tube hyo laki nne iwe mtaji, mm nilijifunza kushona , kukata nguo kwa kuangalia videos , nika practise kutumia cherehan mwenyewe nyumban hakuna mtu amenifundisha , sasa make up ndio ulipe laki nne, jiongeze
Humu utaambulia ushauri tu ukihitaji msaada wa fedha
Mkuu unaweza nisaidia pia?Nina vitabu vya soft copy kuhusu make up kutoka kwa magwiji wa make up duniani ambavyo ukijifunza utapata mwanga tena kitaalamu zaidi na kwa lugha nyepesi kabisa .
Kama uko tayari ni pm nijue nakutumiaje uvipate.