uberimae fidei
JF-Expert Member
- Dec 16, 2016
- 2,679
- 4,283
Nitakuendea hewani Kila 24hrsMimi mvivu kuchat
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nitakuendea hewani Kila 24hrsMimi mvivu kuchat
Mzee wa kuchangamkia fursa Kama kawaida yako hahaMbn ss wengine hutujibu ?
Hahahaha, nazingua tu vijana ,mm sifuati MTU PM na km nimekufuata ujue nimekuheshimu sana na hata pm zenyewe zingine sijibuMzee wa kuchangamkia fursa Kama kawaida yako haha
Ooh vzrNilijib wote jmn
Ushapewa namba jiongeze sasa,hope mpk sasa tayari ushachangamkia fursaKesi ipi tena
HakunaKuna tabu kwan
Hahahaha, basi km kidume kitakua.....Huyo Joanah mnamuoverrate tu,ukute hana urembo wowote
Ama inaweza kuwa kidume fulani hivi kimekaa kinawachora mnaomuita mrembo
Hahahaha, basi km kidume kitakua.....
Siku njemaHy bhna
nipo serious sema tu wifi yako haeleweki
Tokea lini?Hivi sijakwambia siku hizi huyo chaliifrancisco kaniweka kwenye kundi la ex zake?
Tokea lini?
Linnahbaby nimekuita PM mbona umegoma ama.unachagua.Habari zenu, mimi ni dada nina miaka 24 niko Mwanza nahitaji marafiki wa ku-chat nao na kubadilisha mawazo.