Nahitaji marafiki

Nahitaji marafiki

Nageukaje sasa na huyo sio mimi ukisubiri kugeukiwa na mimi usije nikimbia tu
teh..teh..teh... ndo umwambie ageuke!
1566898494971.png

hapa hajaagiza au kapigika? magu mbaya
 
Unawahakikishia vipi hao marafiki utakaowapata hutokuja kupost yebo yebo zao siku za baadae?
 
Unawahakikishia vipi hao marafiki utakaowapata hutokuja kupost yebo yebo zao siku za baadae?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mbona sielewi jamani..nasikia tu yebo yebo mara watu wamekimbia I'd zao..Shem embu nin'gate sikio mwenzioqq
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mbona sielewi jamani..nasikia tu yebo yebo mara watu wamekimbia I'd zao..Shem embu nin'gate sikio mwenzioqq
Acha tu shemela...watu wamechomoa betri humu ni ngumu hata kupata mrembo mpya humu
 
Acha tu shemela...watu wamechomoa betri humu ni ngumu hata kupata mrembo mpya humu
[emoji23][emoji23] Shem umeandika kiupole Sana..wahuni wamekuharibia mipango [emoji848][emoji848]..subiri week ipite uanze mawindo upya
 
[emoji23][emoji23] Shem umeandika kiupole Sana..wahuni wamekuharibia mipango [emoji848][emoji848]..subiri week ipite uanze mawindo upya
Wahuni sio watu wazuri...

Ila yatapita tutaweza kuwavusha seva tena
 
Back
Top Bottom