Nahitaji marafiki

ninakiuno kigumu Mana umri huo kulala usiku hua hamtaki hua mnafili kutazama paa/roof usikuwote because anything can happen
 
Huko Dodoma unemuona job ndugai hata Kwa Bahati mbaya?? Mwambie tunamtafuta
 
Marafiki mkuje huku mnajitajika Lol. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3]
 
Napenda sana kujiconnect na watu wapya , hvo natafuta marafiki wawe wa kike au kiume its okay, tubadilishane mawazo a kushare life experience, then as u know anything can happen anytime [emoji3].

Naitwa Bree niko na miaka 23 natokea dodoma
Karibu mimi nipo tayari kuwa rafiki yako.. maelezo zaidi karibu ndani kwanza..
 
Napenda sana kujiconnect na watu wapya , hvo natafuta marafiki wawe wa kike au kiume its okay, tubadilishane mawazo a kushare life experience, then as u know anything can happen anytime [emoji3].

Naitwa Bree niko na miaka 23 natokea dodoma
waaaaaah msupa. Nakam kwa PM soon.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…