KIDUME20
JF-Expert Member
- Mar 10, 2023
- 1,951
- 4,540
πππππππππ Umeamua kuja tena ama kweliHi
Leo nimetaman kuwa na marafiki wapya kabisa wenye mawazo chanya ambao tunaweza share vitu kwa na confidentiality
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
πππππππππ Umeamua kuja tena ama kweliHi
Leo nimetaman kuwa na marafiki wapya kabisa wenye mawazo chanya ambao tunaweza share vitu kwa na confidentiality
Hi
Leo nimetaman kuwa na marafiki wapya kabisa wenye mawazo chanya ambao tunaweza share vitu kwa na confidentiality
ππππππππππ Daaah hatari sana hawa madogo wa saizi sijui wakoje aseeHivi mwanaume unaanzaje kuomba urafiki? Mimi nadhan the way unavyojichanganya na watu, ndio marafiki na washkaji watapatikana humo humo.
Kuna mwenzako mmoja, alishawahi kuja kuomba marafiki wapya wa kumsaidia kuondokana na upweke aliokuwa nao at the age of 19. Ila later on ikajulikana kuwa ni oya oya.
Unawapata, sema inabidi ulipie. Mcheki Gily ndio mishe zake π π[emoji849][emoji849][emoji849] ivi humu ukiomba urafiki kweli
Unapata? Siinzan najua the way unavyo changia ndivyo marafiki wanakuja mfan mimi ninao marafiik
Lakin sikuwai omba urafiki hapa tangu siku ya kwaza kuingi jf
π signs of serial killers[emoji849][emoji849][emoji849] ivi humu ukiomba urafiki kweli
Unapata? Siinzan najua the way unavyo changia ndivyo marafiki wanakuja mfan mimi ninao marafiik
Lakin sikuwai omba urafiki hapa tangu siku ya kwaza kuingi jf
Ngoja kaiona atajibuShida ni hapo ku share vitu confidential sitowezaπ afafanue ni vitu gani. .
Kwamba jamaa ni tapeli au? π πI thought hii ID yako wewe aisee kweli tunawaziana vibayaπππ
Unamuona Johnnie Walker akili zake ziko sawa?π€£Kwamba jamaa ni tapeli au? π π
unakasirikaje maisha ya mitandaon mkuu tena JF tunapoish na Id zetu fakeπSamahani wewe ni Me, au Ke? watu wanapenda kukuzungumzia vibaya ila unaonekana unafurahia. Kwa nini?
Sio wote mkuu...wengine tumetulia hatuna hizo pigoTabia za kike hizi na ni unafki mkubwa.
madogo wa 2003+ ni mizinguo sana.