Mama queen
New Member
- Aug 13, 2013
- 4
- 1
Kama una nafasi nenda Kibaha pale regional block, uliza idara ya kilimo, watakutajia mbegu bora sawa na eneo lako. Mimi nitakwambia Kiroba ni nzuri kumbe sio compatible na udongo wako, au nitakwambia mbuyu ni bomba kumbe sio ya udongo wako, au nitakutajia Kibanga meno,ikawa sio mwafaka kwako.
Mhogo sasa hivi mali, usifanye kwa majaribio, maanisha kabisa kwa kutaka ushauri wa Bwana kilimo Bagamoyo.