Mama queen
New Member
- Aug 13, 2013
- 4
- 1
Habari wadau,nina shamba maeneo ya Mapinga karibu na Bagamoyo lenye ukubwa wa ekari mbili,natarajia msimu huu wa kilimo kupanda mihogo,hivyo basi ninaomba mnisaidie ni mahali gani ninaweza kupata mbegu nzuri ya mihogo,au hata kama kunamdau yeyote anaweza kunisaidia kwa ushauri,asanteni na Karibuni.my no 0752729002