Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wadada na wakaka wa humu ukioa tu hujue nyaraka zako zitapostiwa humuhumu na kupata shuluisho humuhumu....maisha yatakuwa murua.
Hakuna umbea wa saloon ni e.umbea (electronic umbea) tu humu.
😛
Sent from my GT-I9300
usituvunje moyo
sasa unataka surprise? Electronic relationship ni bomba sana manake hakuna e-waste, lol
hebu niambie za humu zinakuwaje?hahaha me nshapata humuhumu haziumizi kichwa gharama keybord tu
hebu niambie za humu zinakuwaje?
we tangaza nia bana uone maombi kama vipi ongea na host ijumaa uwe kwenye mmu exclusive ukiwa vyema kichwani kama ................................................ utaona mwenyewe pm un ajichagulia tu,
biashara matangazo tehetehe za mbayuwayu changanya na za kwako we kalaghabao
ha ha ha ha ha ha! tatizo kubwa la maadui akinihoji nitamwaga radhi sana humu (ofcoz that will happen km ataniuliza maswali sahihi).....ila i dont wish for that to happen I may hurt somebody's feeling.we tangaza nia bana uone maombi kama vipi ongea na host ijumaa uwe kwenye mmu exclusive ukiwa vyema kichwani kama ................................................ utaona mwenyewe pm un ajichagulia tu,
biashara matangazo tehetehe za mbayuwayu changanya na za kwako we kalaghabao
hahaha me nshapata humuhumu haziumizi kichwa gharama keybord tu
Suprise taratibu semeji ako huyo.....
Suprise taratibu semeji ako huyo.....
lol! umetokea wapi tena kwenye hii thread Bibie? calmn down baby mwache Suprise anipe somo