min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Kabisa,na inapendeza ukimchukua kabisa ili mama yake awe huru.Inatokea mara chache, ila hakikisha huyo mtoto anapata malezi mazuri na boraa,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa,na inapendeza ukimchukua kabisa ili mama yake awe huru.Inatokea mara chache, ila hakikisha huyo mtoto anapata malezi mazuri na boraa,
😁😁 na chakushangaza huo mpango unafanikiwa 100%Hela ikikubali unazibutua kwanza nene, nyembamba, mfupi, mrefu, mwenye tacall, asie na tacall, maex unakumbushia unaenda kwa waliokukataa kipindi una boksa Moja unapiga....baadae ndo uwaze sasa kuoa hapo una 33yrs flan hv
Mungu ni wetu sote😁😁 na chakushangaza huo mpango unafanikiwa 100%
Mimi nataka mume single faza wa watoto hata wawiliKabisa,na inapendeza ukimchukua kabisa ili mama yake awe huru.
Kwanini unataka hivyo mdgo wangu🙄Mimi nataka mume single faza wa watoto hata wawili
HaswaaahKabisa,na inapendeza ukimchukua kabisa ili mama yake awe huru.
Una comment za nyoko! 🤣Shida inaanzia hapo ubaoni
0-1
Kaburi lipo??? Au ni kuvumiliana?
Ili nizae katoto kangu kamojaKwanini unataka hivyo mdgo wangu🙄
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimechekaa sanaa. Hebu amka Dogo utajikolea,Mnaocomment mnadhan maisha bado yapo vile vile. Sikuhz mwanaume 25yrs ni 35 years ya zamani. Acheni kukariri maisha. Sisi sio nyie mlokua mnasubiri wazee wenu wafe mlithishwe nyumba mziuze. Unanisoma TAI DUME na wenzako? Watu tumeanza kuhustle toka form 2, likizo ya form 4 tumeingia migodini, chuo naingia tyr nina account inasoma 15m++
Nina 25yrs ila nina gari, nina duka la electronics hapa town, na nina kiwanja ambamo nina mjengo umefika renta, ninakaa apartment ya 700k kwa mwezi. Mpaji Mungu acheni kukariri maisha
Na hao madem nishakula sana, wewe unadhan nimepataje mtoto? Nmeanza kula pisi hadi za 3rd year nikiwa 1st year sababu ya hela nlokua nayo.
Kwangu nimefikia level ya kutengeneza familia. Acheni kukariri maisha.
cocastic pekee ndo kaongea point, mama mtoto wangu tuna vikwazo vingi sana, dini, wazazi wake bado oldschool pia hawanitaki. Yy mwenyewe anaolewa mwezi wa nane. Angekua tyr ningekaa nae, hivo usikurupuke kujudge kama hujajua situation, sio kila single mother ni zao la mwanaume, kuna muda wanawake wenyewe ndo wanafanya tuache hayo mahusiano.
Evelyn Salt ubao kuwa 1-0 kwa mwanaume ni kawaida. Sisi wanaume umri unavyoenda ndo tunazidi kunawiri, tofauti na wanawake. Mwanamke akishazaa tu ana-depreciate saana kimwili, kiakili na kisaikolojia na ndo maana Magu hakutaka hawa waliozaa warudi shule. I hope you get my point sweetheart.
Kuwa makini tu,kwa hiyo bwana mwashambwa umempuuzia?Ili nizae katoto kangu kamoja
mchumba wangu ana mtoto 1 nimemwambia kabla ya kunioa ahakikishe anapata wa 2 na mimi nitamzalia 1 jumla watoto 3
Sijampuuzia na bado utatuona sanaaa..!🤸Kuwa makini tu,kwa hiyo bwana mwashambwa umempuuzia?
Shida sio kunawiri kaka, shida ni umekaa na mwenzio mmepandishiana miguu kwa mahaba, mara vuuuup mama junia anakutumia picha kushukuru nguo zimemtosha junia.....🥹🥹Evelyn Salt ubao kuwa 1-0 kwa mwanaume ni kawaida. Sisi wanaume umri unavyoenda ndo tunazidi kunawiri, tofauti na wanawake. Mwanamke akishazaa tu ana-depreciate saana kimwili, kiakili na kisaikolojia na ndo maana Magu hakutaka hawa waliozaa warudi shule. I hope you get my point sweetheart.
Mnaocomment mnadhan maisha bado yapo vile vile. Sikuhz mwanaume 25yrs ni 35 years ya zamani. Acheni kukariri maisha. Sisi sio nyie mlokua mnasubiri wazee wenu wafe mlithishwe nyumba mziuze. Unanisoma TAI DUME na wenzako? Watu tumeanza kuhustle toka form 2, likizo ya form 4 tumeingia migodini, chuo naingia tyr nina account inasoma 15m++
Nina 25yrs ila nina gari, nina duka la electronics hapa town, na nina kiwanja ambamo nina mjengo umefika renta, ninakaa apartment ya 700k kwa mwezi. Mpaji Mungu acheni kukariri maisha
Na hao madem nishakula sana, wewe unadhan nimepataje mtoto? Nmeanza kula pisi hadi za 3rd year nikiwa 1st year sababu ya hela nlokua nayo.
Kwangu nimefikia level ya kutengeneza familia. Acheni kukariri maisha.
cocastic pekee ndo kaongea point, mama mtoto wangu tuna vikwazo vingi sana, dini, wazazi wake bado oldschool pia hawanitaki. Yy mwenyewe anaolewa mwezi wa nane. Angekua tyr ningekaa nae, hivo usikurupuke kujudge kama hujajua situation, sio kila single mother ni zao la mwanaume, kuna muda wanawake wenyewe ndo wanafanya tuache hayo mahusiano.
Evelyn Salt ubao kuwa 1-0 kwa mwanaume ni kawaida. Sisi wanaume umri unavyoenda ndo tunazidi kunawiri, tofauti na wanawake. Mwanamke akishazaa tu ana-depreciate saana kimwili, kiakili na kisaikolojia na ndo maana Magu hakutaka hawa waliozaa warudi shule. I hope you get my point sweetheart.
Hilo furushi huyo dada kajua kulitegesha 🤔Shida sio kunawiri kaka, shida ni umekaa na mwenzio mmepandishiana miguu kwa mahaba, mara vuuuup mama junia anakutumia picha kushukuru nguo zimemtosha junia.....🥹🥹
View attachment 3017001
Wee umechanganyikiwa niniHabarini wakuu.
Mie ni kijana wa kiume nina miaka 25. Natafuta mwanamke wa kuwa nae kwenye mahusiano serious na kama tukidumu na tukaendana basi nitamuoa.
Awe anajielewa, muonekano wa kawaida tu ila ukiwa mzuri wa sura itapendeza zaidi. Asiwe mnene sana, napendelea English figure. Rangi yoyote ile japo napendelea mweusi. Mimi nimesoma soma kdg na nina exposure kiasi chake hivyo akiwa na yeye ni msomi kdg au ana exposure itafaa zaidi japo sio lazima.
Kama nilivyosema umri wangu ni 25 ila mwanamke ninaemtaka kwangu umri sio kigezo sana sababu nishadate na walio rika langu na chini ya hapo ila wengj hawajielewi. Hivyo umri asizidi tu 30, cha muhimu awe anajielewa na awe na sifa za mwanamke wa kiafrika, yaani asiwe feminist kabisa.
Mie nina mtoto mdg wa kiume, yeye pia akiwa na mtoto sio mbaya japo napendelea asiwe na mtoto.
Nimejiajiri, nipo Dar, hela za kubadili mboga zipo. Tall kiasi, mweusi, some of my EXs say I'm handsome (japo sina uhakika)
Lengo la kutafuta mke ni kupata mwanamke ambae tutaendana na anaejielewa ili tufurahie maisha na kufanya maendeleo zaidi, unajua maisha mafupi haya na population inaongezeka ila happy couples zinapungua, so sweetheart come we add 1 to the total number of happy couples in the world.