Nahitaji mchumba wa kike anaejielewa, umri wangu 25 nimejiajiri. Hata akiwa ananizidi umri sio mbaya, awe anajielewa tu

Nahitaji mchumba wa kike anaejielewa, umri wangu 25 nimejiajiri. Hata akiwa ananizidi umri sio mbaya, awe anajielewa tu

Habarini wakuu.

Mie ni kijana wa kiume nina miaka 25. Natafuta mwanamke wa kuwa nae kwenye mahusiano serious na kama tukidumu na tukaendana basi nitamuoa.

Awe anajielewa, muonekano wa kawaida tu ila ukiwa mzuri wa sura itapendeza zaidi. Asiwe mnene sana, napendelea English figure. Rangi yoyote ile japo napendelea mweusi. Mimi nimesoma soma kdg na nina exposure kiasi chake hivyo akiwa na yeye ni msomi kdg au ana exposure itafaa zaidi japo sio lazima.

Kama nilivyosema umri wangu ni 25 ila mwanamke ninaemtaka kwangu umri sio kigezo sana sababu nishadate na walio rika langu na chini ya hapo ila wengj hawajielewi. Hivyo umri asizidi tu 30, cha muhimu awe anajielewa na awe na sifa za mwanamke wa kiafrika, yaani asiwe feminist kabisa.

Mie nina mtoto mdg wa kiume, yeye pia akiwa na mtoto sio mbaya japo napendelea asiwe na mtoto.

Nimejiajiri, nipo Dar, hela za kubadili mboga zipo. Tall kiasi, mweusi, some of my EXs say I'm handsome (japo sina uhakika)

Lengo la kutafuta mke ni kupata mwanamke ambae tutaendana na anaejielewa ili tufurahie maisha na kufanya maendeleo zaidi, unajua maisha mafupi haya na population inaongezeka ila happy couples zinapungua, so sweetheart come we add 1 to the total number of happy couples in the world.
Rubbish
 
Mtoto nakaa nae mm so hio haiwezi kutokea
Ooohoooo kaka, kaka.....akitaka kumuona kijana wake ndio unatoka nae si ndio?? Mnaenda kukaa beach na mnabembea baba mama na mtoto wenyewe mnaitaga "for the sake of our kid" mnakula na ice cream....

Kaka tumbo limeniuma ghafla nitarudi.🥹🥹🥹
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimechekaa sanaa. Hebu amka Dogo utajikolea,
Hii ndoto yako imekuzidi uwezo wa kuratibu usingizi.
Acha makasiriko, wewe share link ys uzi kwenye group la wanawake wenzio, mwenye ataona inamfaa atanicheki
 
Mnaocomment mnadhan maisha bado yapo vile vile. Sikuhz mwanaume 25yrs ni 35 years ya zamani. Acheni kukariri maisha. Sisi sio nyie mlokua mnasubiri wazee wenu wafe mlithishwe nyumba mziuze. Unanisoma TAI DUME na wenzako? Watu tumeanza kuhustle toka form 2, likizo ya form 4 tumeingia migodini, chuo naingia tyr nina account inasoma 15m++

Nina 25yrs ila nina gari, nina duka la electronics hapa town, na nina kiwanja ambamo nina mjengo umefika renta, ninakaa apartment ya 700k kwa mwezi. Mpaji Mungu acheni kukariri maisha

Na hao madem nishakula sana, wewe unadhan nimepataje mtoto? Nmeanza kula pisi hadi za 3rd year nikiwa 1st year sababu ya hela nlokua nayo.

Kwangu nimefikia level ya kutengeneza familia. Acheni kukariri maisha.

cocastic pekee ndo kaongea point, mama mtoto wangu tuna vikwazo vingi sana, dini, wazazi wake bado oldschool pia hawanitaki. Yy mwenyewe anaolewa mwezi wa nane. Angekua tyr ningekaa nae, hivo usikurupuke kujudge kama hujajua situation, sio kila single mother ni zao la mwanaume, kuna muda wanawake wenyewe ndo wanafanya tuache hayo mahusiano.

Evelyn Salt ubao kuwa 1-0 kwa mwanaume ni kawaida. Sisi wanaume umri unavyoenda ndo tunazidi kunawiri, tofauti na wanawake. Mwanamke akishazaa tu ana-depreciate saana kimwili, kiakili na kisaikolojia na ndo maana Magu hakutaka hawa waliozaa warudi shule. I hope you get my point sweetheart.
🤣🤣🤣🤣Utoto raha sana
 
Nimekusahau ephen_ unasema ngoja nikue kue, isingekua anonymousity ningekuelekeza maduka yangu yalupo uende uone nimeajiri watu wenye umri gn, na wananiheshimu. Anyway huwa siombi respect. Ila ww ndo inabidi ukue kue kwanza
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Eti nina exposure, yaani miaka 25 ndio unajiona una exposure? Ukifikisha miaka 40 utasema una nini?
 
Mtu anataka soulmate nyie mmekazana ushauri wa ajabu ajabu! Shida nini umasikini au ? Sio kila mtu kaumbwa kuja kuwa mzinzi wengine wanajiheshimu wanapenda mwanamke mmoja atulie nae kama bata wanakula wote na mwanamke wake...
Jamii ya hovyo kabisa! Kama mnashindwa kuwa wachumba heri mumpe moyo mpite zenu
 
Back
Top Bottom