Nahitaji mchumba wa kike anaejielewa, umri wangu 25 nimejiajiri. Hata akiwa ananizidi umri sio mbaya, awe anajielewa tu

Rubbish
 
Mtoto nakaa nae mm so hio haiwezi kutokea
Ooohoooo kaka, kaka.....akitaka kumuona kijana wake ndio unatoka nae si ndio?? Mnaenda kukaa beach na mnabembea baba mama na mtoto wenyewe mnaitaga "for the sake of our kid" mnakula na ice cream....

Kaka tumbo limeniuma ghafla nitarudi.🥹🥹🥹
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimechekaa sanaa. Hebu amka Dogo utajikolea,
Hii ndoto yako imekuzidi uwezo wa kuratibu usingizi.
Acha makasiriko, wewe share link ys uzi kwenye group la wanawake wenzio, mwenye ataona inamfaa atanicheki
 
🤣🤣🤣🤣Utoto raha sana
 
Nimekusahau ephen_ unasema ngoja nikue kue, isingekua anonymousity ningekuelekeza maduka yangu yalupo uende uone nimeajiri watu wenye umri gn, na wananiheshimu. Anyway huwa siombi respect. Ila ww ndo inabidi ukue kue kwanza
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Eti nina exposure, yaani miaka 25 ndio unajiona una exposure? Ukifikisha miaka 40 utasema una nini?
 
Mtu anataka soulmate nyie mmekazana ushauri wa ajabu ajabu! Shida nini umasikini au ? Sio kila mtu kaumbwa kuja kuwa mzinzi wengine wanajiheshimu wanapenda mwanamke mmoja atulie nae kama bata wanakula wote na mwanamke wake...
Jamii ya hovyo kabisa! Kama mnashindwa kuwa wachumba heri mumpe moyo mpite zenu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…