Nahitaji mchumba wa kiume, ukivutiwa na vigezo vyangu karibu

Mi nina sifa zote hapo ila ninatumia kinywaji, sasa badala ya tuanze kusumbuana kwenye ndoa nambie kama utakuwa tayari maana siku naweza kurudi na harufu au nikanunua pombe zangu nisije kuonekana nakuletea mapepo nyumbani.
 
Vigezo vyooote nimekidhi tatizo dini tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…