Ok, ahsante kwa tangazo ila mwanzilishi wa huu uzi hana hizo sifa (umri-above 25,umbo-si mwembamba), karibuni kwa waliokidhi vigezo.Kaz unga unga lakin utakula utavaa nina nyumba ninabiashara mbili tatu duka saloon mke awe na miaka 20-25 mwembamba kabila awe mnyamwez niko dar njoo dm tuyajenge
Bado tu tangu mwezi wa 4?Bado
Mtoto mzuriNi kweli
Nipo..mambo?Mtoto mzuri
upo?
Niko singo ndio haujaona tangazo langu hapo?Pouwa
We hauko singo?
SijaonaNiko singo ndio haujaona tangazo langu hapo?
Haha kumbe sio uzi huu bwana...nimeweka kwenye ule uzi wa kutafuta wachumba[emoji85][emoji85]Sijaona
Au umenitumia kule kwa waziri mkuu?
Unaharibu sasa,Haha kumbe sio uzi huu bwana...nimeweka kwenye ule uzi wa kutafuta wachumba[emoji85][emoji85]
Sent from my VFD 301 using JamiiForums mobile app
Kwani na wewe unatafuta[emoji13]Unaharibu sasa,
Si ungeninong'oneza tu
Mi sitafuti, NAKUTAFUTA.
Mbona hujawahi kuniambia kama unanitafuta[emoji16][emoji16]Mi sitafuti, NAKUTAFUTA.
Nilikuwa nakuja pale hall 3 unanichengaMbona hujawahi kuniambia kama unanitafuta[emoji16][emoji16]
Sent from my VFD 301 using JamiiForums mobile app
Hahaha eti hall 3Nilikuwa nakuja pale hall 3 unanichenga
Ahsante kwa ushauriShida sio kupima magonjwa je huko kwenye urefu x upana papo sawa maana dunia ya sasa hata tukipima magonjwa bado tu tutasumbuana sijui kibamia
Zaidi ya Sanamu