Nahitaji mchumba wa kiume, ukivutiwa na vigezo vyangu karibu

Weka namba
 
mbona watu mna roho mbaya hivi nyuzi kama hizi hamni tag nije?

au mnafkiri mimi napenda sana kupishana na mende kule kwangu?

kazi yenu kuni tag kwenye vitu vigumu gumu tu,ila vizuri hivi siitwi hata

kwa bahati mbaya haya kaeni na mawivu yenu tuone yatawafikisha wapi,nshakosa rafiki mimi.
 
Ila bado hujachelewa,karibu 🤔
 

Du!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…