- Thread starter
- #421
Nimejibu kiukweli tu ,mtu asitegemee makubwa.Uzoefu unaniambia kuwa akijibu hivyo yaliyomo yanakuwepo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimejibu kiukweli tu ,mtu asitegemee makubwa.Uzoefu unaniambia kuwa akijibu hivyo yaliyomo yanakuwepo
Hivi kweli kwa vigezo hivyo hujapata tu au kuna tatizo sehemu...mbona vigezo vyako ni vizuri au kuna zaidi ya hapo au kuna mtu specifically unamtafuta hukuKaribu,bado ipo
AhsanteKila la kheri mkuu
Hamna mtu specifically niliyemtarget mkuu, vigezo ni vizuri but huenda ni vigumu pia ndiyo maana bado.Hivi kweli kwa vigezo hivyo hujapata tu au kuna tatizo sehemu...mbona vigezo vyako ni vizuri au kuna zaidi ya hapo au kuna mtu specifically unamtafuta huku
Haujasema kama upo ba bikra!!! Vigezo ninavyo lakini nataka kufahamu kama bado upo virginHello,
I hope you are all fine,poleni na Corona na tuzidi kuchukua tahadhari tu. back to the point nahitaji rafiki wa kiume ambaye ikipendeza tutaingia hatua zingine kama mahusiano na hata ndoa.
Huu ni wasifu wangu:
Jinsia- am a lady,miaka 28
Kimo- mrefu,rangi maji ya kunde.
Umbo-mwili wa kawaida si mnene wala mwembamba
M.status- single na sina mtoto
Dini- mkristo
Edc- Bachelor Degree
Kazi- nimeajiriwa
Makazi- Dar es salaam.
Sifa za rafiki nimtakaye:
Umri-awe na miaka 30 na kuendelea
Kimo- mrefu pia ukiwa na futi 6 na zaidi itakua vizuri
M.status-awe single
Dini- awe mkristo
Kazi- awe amejiajiri/kuajiriwa
Makazi- awe Dar es salaam au maeneo jirani
NB:Awe tayari kupima magonjwa,nipo tayari pia.
kwa mawasiliano zaidi karibu pm(kwa wenye hizo sifa please)
Weekend njema.
Ukiwa bikra wewe inatosha.Haujasema kama upo ba bikra!!! Vigezo ninavyo lakini nataka kufahamu kama bado upo virgin
Mie nataka 0 KMUkiwa bikra wewe inatosha.
Sawa, basi huu uzi haukufai.Mie nataka 0 KM
NA KUHUSU MTARIMBO UJASEMA SIZEHello,
I hope you are all fine,poleni na Corona na tuzidi kuchukua tahadhari tu. back to the point nahitaji rafiki wa kiume ambaye ikipendeza tutaingia hatua zingine kama mahusiano na hata ndoa.
Huu ni wasifu wangu:
Jinsia- am a lady,miaka 28
Kimo- mrefu,rangi maji ya kunde.
Umbo-mwili wa kawaida si mnene wala mwembamba
M.status- single na sina mtoto
Dini- mkristo
Edc- Bachelor Degree
Kazi- nimeajiriwa
Makazi- Dar es salaam.
Sifa za rafiki nimtakaye:
Umri-awe na miaka 30 na kuendelea
Kimo- mrefu pia ukiwa na futi 6 na zaidi itakua vizuri
M.status-awe single
Dini- awe mkristo
Kazi- awe amejiajiri/kuajiriwa
Makazi- awe Dar es salaam au maeneo jirani
NB:Awe tayari kupima magonjwa,nipo tayari pia.
kwa mawasiliano zaidi karibu pm(kwa wenye hizo sifa please)
Weekend njema.
Wewe una size gani? ,nahitaji kama huo wako👹NA KUHUSU MTARIMBO UJASEMA SIZE
🤣🤣Wewe una size gani? ,nahitaji kama huo wako👹
Hi mkwe!Mkwe!?
6 size. DM tafadhari 😉Wewe una size gani? ,nahitaji kama huo wako👹
Sawa6 size. DM tafadhari 😉
Hello,
I hope you are all fine,poleni na Corona na tuzidi kuchukua tahadhari tu. back to the point nahitaji rafiki wa kiume ambaye ikipendeza tutaingia hatua zingine kama mahusiano na hata ndoa.
Huu ni wasifu wangu:
Jinsia- am a lady,miaka 28
Kimo- mrefu,rangi maji ya kunde.
Umbo-mwili wa kawaida si mnene wala mwembamba
M.status- single na sina mtoto
Dini- mkristo
Edc- Bachelor Degree
Kazi- nimeajiriwa
Makazi- Dar es salaam.
Sifa za rafiki nimtakaye:
Umri-awe na miaka 30 na kuendelea
Kimo- mrefu pia ukiwa na futi 6 na zaidi itakua vizuri
M.status-awe single
Dini- awe mkristo
Kazi- awe amejiajiri/kuajiriwa
Makazi- awe Dar es salaam au maeneo jirani
NB:Awe tayari kupima magonjwa,nipo tayari pia.
kwa mawasiliano zaidi karibu pm(kwa wenye hizo sifa please)
Weekend njema.futi sita sina
Hapana si interviews, ni normal conversations tu kwa pande zote kufahamiana.Huu uzi bado interview zinaendelea ?