Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 21,237
- 31,811
Good kila lakheriHapana si interviews, ni normal conversations tu kwa pande zote kufahamiana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Good kila lakheriHapana si interviews, ni normal conversations tu kwa pande zote kufahamiana.
Ahsante.Good kila lakheri
Mpaka leo vijana hawajachangamkia fursa. Basi niwe danga lakoHapana si interviews, ni normal conversations tu kwa pande zote kufahamiana.
Hapana ahsante.Mpaka leo vijana hawajachangamkia fursa. Basi niwe danga lako
Unamaanisha wewe huwa unakodishwa ?kwamba bado hujapata??? nipo kwa ajili ya matumizi ya kukodi hahahaha
hahaha basi niseme wa kutimiza haja za mhitaji hahaha.... ila hujajibu kama umeshampata au la hasha?Unamaanisha wewe huwa unakodishwa ?
Kama mazungumzo ya kufahamiana tubadilishane digitsHapana si interviews, ni normal conversations tu kwa pande zote kufahamiana.
Sawa, ila ni mazungumzo ya kuelekea lengo la uzi hapo juu.Kama mazungumzo ya kufahamiana tubadilishane digits
Bado sijapatahahaha basi niseme wa kutimiza haja za mhitaji hahaha.... ila hujajibu kama umeshampata au la hasha?
Ah nilifikiri kufahamiana kirafiki, stori na deals kama hizo.Sawa, ila ni mazungumzo ya kuelekea lengo la uzi hapo juu.
Ni urafiki mzuri but acha kwanza nifocus na lengo la uzi mkuu. Thank youAh nilifikiri kufahamiana kirafiki, stori na deals kama hizo.
so wote waliokuja DM mlishindwana au hukupendezwa nao?Bado sijapata
Hawakupendezwa na mimi(I am ugly). Next question👹so wote waliokuja DM mlishindwana au hukupendezwa nao?
Karibu hata darasa la pili sawa, sihitaji elimu nahitaji rafikiJe darasa la saba anakubalika?
no further question your honourHawakupendezwa na mimi(I am ugly). Next question👹
Mie nataka 0 KM
Unataka kuaribu uzi sasa,
Yaan kwa haya majibu unafaa kuwa mke.Karibu hata darasa la pili sawa, sihitaji elimu nahitaji rafiki