Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa idara ya RegistryWenye mawazo kama mimi wapo hao buku.
SawaKama sifa zako hizo unazo kweli njoo PM now
PamojaSawa idara ya Registry
OkYaani wanaume wa Dar wameshindwa kabisa kukutongoza mpaka unaanzisha usi humu ili na sisi wa mikoani tichangamkie fursa?
Mimi hapajf Hamna mwanaume Single..
BadoNazn ulishafanikiw
Naomba kazi ya ulinzi wakati unaendelea kutafuta.Bado
Bado
😀 huenda ni kwa sababu wewe hujaja pm ikiwa vigezo vyote hapo unavyo.unakwama wapi!?
[emoji3] huenda ni kwa sababu wewe hujaja pm ikiwa vigezo vyote hapo unavyo.
Usijali utapata mwingine mwenye conditions rahisi kwako👏terms and conditions zimekuwa ngumu kwangu[emoji3]
Ungekuwa na mtoto ningekufikiria. Sasa wewe unaona sifa kutokuwa na mtoto umri wote huo? Are you a problematic?Hello,
I hope you are all fine,poleni na Corona na tuzidi kuchukua tahadhari tu. back to the point nahitaji rafiki wa kiume ambaye ikipendeza tutaingia hatua zingine kama mahusiano na hata ndoa.
Huu ni wasifu wangu:
Jinsia- am a lady,miaka 28
Kimo- mrefu,rangi maji ya kunde.
Umbo-mwili wa kawaida si mnene wala mwembamba
M.status- single na sina mtoto
Dini- mkristo
Edc- Bachelor Degree
Kazi- nimeajiriwa
Makazi- Dar es salaam.
Sifa za rafiki nimtakaye:
Umri-awe na miaka 30 na kuendelea
Kimo- mrefu pia ukiwa na futi 6 na zaidi itakua vizuri
M.status-awe single
Dini- awe mkristo
Kazi- awe amejiajiri/kuajiriwa
Makazi- awe Dar es salaam au maeneo jirani
NB:Awe tayari kupima magonjwa,nipo tayari pia.
kwa mawasiliano zaidi karibu pm(kwa wenye hizo sifa please)
Weekend njema.