- Thread starter
- #581
Ahsante kwa response yako, ila kigezo cha umri na urefu ni muhimu kuliko vingine vyote. He must be 30yrs and above. Thank you.Wale ambao tuna umri below 30 but vigezo vingine tunavyo tutume maombi pia!?😏😏
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahsante kwa response yako, ila kigezo cha umri na urefu ni muhimu kuliko vingine vyote. He must be 30yrs and above. Thank you.Wale ambao tuna umri below 30 but vigezo vingine tunavyo tutume maombi pia!?😏😏
Sawa ahsante.Punguza ngono zembe
Tooo Subjective especially hii line apa
How deeply did you wished me to think?, do you mean mtu akihitaji kupima ndiyo yuko tayari the next day kuhave sex na je kupima is all about having sex? I asked for a friendship na baadaye hatua zingine kama uchumba na ndoa vingefuata je niende tu blindly bila kujua afya ya huyo mwenza?.Ha ha ha! I agree, but I wanted her to think deeply
How deeply did you wished me to think?, do you mean mtu akihitaji kupima ndiyo yuko tayari the next day kuhave sex na je kupima is all about having sex? I asked for a friendship na baadaye hatua zingine kama uchumba na ndoa vingefuata je niende tu blindly bila kujua afya ya huyo mwenza?.
Ok sawaEpuka kutapeliwa,Darisalama hakuna wife material
Thibitisha mkuu,niuze nyumba ya urithiHongera sana kama ndiyo wewe huyu...View attachment 1702928
Hapana siyo mimiThibitisha mkuu,niuze nyumba ya urithi
Muonekano si unaelekeana lakini?Hapana siyo mimi
Hapana ni tofauti kabisaMuonekano si unaelekeana lakini?
NAPATIKANA DARHello,
I hope you are all fine,poleni na Corona na tuzidi kuchukua tahadhari tu. back to the point nahitaji rafiki wa kiume ambaye ikipendeza tutaingia hatua zingine kama mahusiano na hata ndoa.
Huu ni wasifu wangu:
Jinsia- am a lady,miaka 28
Kimo- mrefu,rangi maji ya kunde.
Umbo-mwili wa kawaida si mnene wala mwembamba
M.status- single na sina mtoto
Dini- mkristo
Edc- Bachelor Degree
Kazi- nimeajiriwa
Makazi- Dar es salaam.
Sifa za rafiki nimtakaye:
Umri-awe na miaka 30 na kuendelea
Kimo- mrefu pia ukiwa na futi 6 na zaidi itakua vizuri
M.status-awe single
Dini- awe mkristo
Kazi- awe amejiajiri/kuajiriwa
Makazi- awe Dar es salaam au maeneo jirani
NB:Awe tayari kupima magonjwa,nipo tayari pia.
kwa mawasiliano zaidi karibu pm(kwa wenye hizo sifa please)
Weekend njema.
NAPATIKANA DAR NINA MIAKA 53Hello,
I hope you are all fine,poleni na Corona na tuzidi kuchukua tahadhari tu. back to the point nahitaji rafiki wa kiume ambaye ikipendeza tutaingia hatua zingine kama mahusiano na hata ndoa.
Huu ni wasifu wangu:
Jinsia- am a lady,miaka 28
Kimo- mrefu,rangi maji ya kunde.
Umbo-mwili wa kawaida si mnene wala mwembamba
M.status- single na sina mtoto
Dini- mkristo
Edc- Bachelor Degree
Kazi- nimeajiriwa
Makazi- Dar es salaam.
Sifa za rafiki nimtakaye:
Umri-awe na miaka 30 na kuendelea
Kimo- mrefu pia ukiwa na futi 6 na zaidi itakua vizuri
M.status-awe single
Dini- awe mkristo
Kazi- awe amejiajiri/kuajiriwa
Makazi- awe Dar es salaam au maeneo jirani
NB:Awe tayari kupima magonjwa,nipo tayari pia.
kwa mawasiliano zaidi karibu pm(kwa wenye hizo sifa please)
Weekend njema.
madam hujapata tupe mrejesho!Hapana ni tofauti kabisa
Je umechanja??Hello,
I hope you are all fine,poleni na Corona na tuzidi kuchukua tahadhari tu. back to the point nahitaji rafiki wa kiume ambaye ikipendeza tutaingia hatua zingine kama mahusiano na hata ndoa.
Huu ni wasifu wangu:
Jinsia- am a lady,miaka 28
Kimo- mrefu,rangi maji ya kunde.
Umbo-mwili wa kawaida si mnene wala mwembamba
M.status- single na sina mtoto
Dini- mkristo
Edc- Bachelor Degree
Kazi- nimeajiriwa
Makazi- Dar es salaam.
Sifa za rafiki nimtakaye:
Umri-awe na miaka 30 na kuendelea
Kimo- mrefu pia ukiwa na futi 6 na zaidi itakua vizuri
M.status-awe single
Dini- awe mkristo
Kazi- awe amejiajiri/kuajiriwa
Makazi- awe Dar es salaam au maeneo jirani
NB:Awe tayari kupima magonjwa,nipo tayari pia.
kwa mawasiliano zaidi karibu pm(kwa wenye hizo sifa please)
Weekend njema.
Angeweka picha mnatoKweli wanaume tupo wachache hdi unakuja kujianika humu
Ahsante ila nimeona humu siyo Facebook, ndiyo maana hata jina tu unatumia fake is it? Are you Yello masai for real?Dada! Umetumia muda mwingi kujieleza ulivyo, ungeweka picha tu ingeeleza kila kitu
Sent using Jamii Forums mobile app