Hivi kuna wadada wanadanganyika kirahisi namna hii kwenye karne hii?Wale wa kibaha nadhani mnajua kila jumamosi ni siku ya kula nyama choma hapa machinjioni.
Nahitaji mdada aje muda huu hapa machinjioni tuke tule nyama, tupige story kadhaa, na tufurahi pamoja.
Akiwa wa umri wa 20-30 itapendeza zaidi.
Nafasi ni 1, karibu sana mdada utakayowahi hii fursa ya leo.
Tunasubiria na wewe utoe fursa maana hatuwezi kwenda wote huko[emoji12]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii habari ni ya kweli na sehemu niliyoitaja na tukio linalofanyika leo ni kweli, atakayehisi nadanganya namuomba akae pembeniHivi kuna wadada wanadanganyika kirahisi namna hii kwenye karne hii?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kuna wadada wamekuja kweli? Poor themHii habari ni ya kweli na sehemu niliyoitaja na tukio linalofanyika leo ni kweli, atakayehisi nadanganya namuomba akae pembeni
Ndiyo maana anampeleka machinjioni!!Unataka mwisho wa siku "UMCHINJE"[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona unakanusha mkuu tatizo nn kuna wadada wengne wako wa pweke weekend kama hii halafu mwenyewe anataka kampani tu hana haja zingne wabongo bhana
Shida ni kuwa available even to strangers, yaani natoka tu myumbani kisa upweke ati naenda kula nyama choma na total stranger, siamini kama inawezekanaMbona unakanusha mkuu tatizo nn kuna wadada wengne wako wa pweke weekend kama hii halafu mwenyewe anataka kampani tu hana haja zingne wabongo bhana
Sent using Jamii Forums mobile app