Nahitaji Miche/mbegu za muda mfupi za mastafeli na mafenesi

Nahitaji Miche/mbegu za muda mfupi za mastafeli na mafenesi

Mkuu Chige kazi yako ni njema.Nitakutumi mche mmoja kama zawadi
Tatizo nikipanda hapa, Baba mwenye nyumba akinitimua, itabidi nimwachie!!! Yaani mwaka wowote nikija kuwa na kwangu, nakufuata mwenyewe hapo SUA... and I guess it'll remind me in those good old days ambazo tukimaliza semister bila kunji, watu tunajiuliza "tuna matatizo gani sisi... tumekuwa kama Mzumbe, au!!!

Watoto wa siku hizi wanaogopa kugoma... sasa unamalizaje mwaka mzima chuo bila kufanya jambo lenu pale Nelson Mandela Freedom Square; aaaaaargh!!
 
Tatizo nikipanda hapa, Baba mwenye nyumba akinitimua, itabidi nimwachie!!! Yaani mwaka wowote nikija kuwa na kwangu, nakufuata mwenyewe hapo SUA... and I guess it'll remind me in those good old days ambazo tukimaliza semister bila kunji, watu tunajiuliza "tuna matatizo gani sisi... tumekuwa kama Mzumbe!!!

Watoto wa siku hizi wanaogopa kugoma... sasa unamalizaje mwaka mzima chuo bila kufanya jambo lenu pale Nelson Mandela Freedom Square; aaaaaargh!!
😂😂 basi mkuu hakuna kitu kimeharibika,siku ukipata eneo tutaonana.
Vijana wa miaka hii ni wazalendo,wamekunywa maji ya bendera😁
 
Wakuu natafuta hayo matunda ya Stafeli kwa ajili ya biashara..natafuta sana wakuu..nipo Arusha
 
😂😂 basi mkuu hakuna kitu kimeharibika,siku ukipata eneo tutaonana.
Vijana wa miaka hii ni wazalendo,wamekunywa maji ya bendera😁
Dah! Tena nahisi dozi ni lita moja kutwa mara tatu!!! Ila asikuambie mtu bhana, zamani ilikuwa raha sana, na migomo mingine ilikuwa hata grounds haina!!! Unakuta watu kesho mna paper la Genetics, halafu mpo shallow kishenzi, mara mnasikia madogo wamelianzisha Mazimbu!!

Hapo nusu saa nyingi, watu wapo kwenye magari kutoka Main Campus kwenda kuunga mkono madogo huku ukimwambia kimoyomoyo Mama Nchimbi "fanya mwenyewe hayo ma-genetic yako"!
 
Dah! Tena nahisi dozi ni lita moja kutwa mara tatu!!! Ila asikuambie mtu bhana, zamani ilikuwa raha sana, na migomo mingine ilikuwa hata grounds haina!!! Unakuta watu kesho mna paper la Genetics, halafu mpo shallow kishenzi, mara mnasikia madogo wamelianzisha Mazimbu!!

Hapo nusu saa nyingi, watu wapo kwenye magari kutoka Main Campus kwenda kuunga mkono madogo huku ukimwambia kimoyomoyo Mama Nchimbi "fanya mwenyewe hayo ma-genetic yako"!
😂😂 nyie mngetuharibia vijana,bora mlivyoondoka
 
😂😂 nyie mngetuharibia vijana,bora mlivyoondoka
Sisi ndo tungetengeneza vijana wa kupambania taifa lao badala ya hawa vijana wa sasa wanaopambania vyama vyao! No wonder wakati ule serikali ilikuwa haitaki kabisa siasa vyuoni manake...
 
Back
Top Bottom