Nahitaji mjadala wa wazi na wafuatao.. Smile, Heaven on earth na Mrembo by Nature..kwanza!

utaendelea kua mume A ... mimi wara usiwe na hofu sipo kwenye list kabisa.. nikiamua kuingia basi hutokua hata mume B namba zote nitazifuta na kubaki peke yangu

Naona nishakuwa mume b..we..ge sasa , wewe si uliaga unaenda kumsalimia shangazi? Kumbe unatrip zako .
 
utaendelea kua mume A ... mimi wara usiwe na hofu sipo kwenye list kabisa.. nikiamua kuingia basi hutokua hata mume B namba zote nitazifuta na kubaki peke yangu

umemtisha sana.. btw mume b works very hard than mume a..
 
Naona sasa unacheza na sharubu za simba, jamaaaaan mnishike nasema mnishike nachinja mtu shingo .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…