- Thread starter
- #121
Tunaendeleaje na mjadala? hadi ulete mburi ye zue kuhuthu maatundu (muombe mtu wa kule akutafsirie)
nielekeze kwake! nitamwomba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunaendeleaje na mjadala? hadi ulete mburi ye zue kuhuthu maatundu (muombe mtu wa kule akutafsirie)
nielekeze kwake! nitamwomba
Passion Lady kama kweli unanipenda utanilinda kwa kunambia hapa pana nini.....
Eti eeeehh mwenzangu hizi alama ngumu kweli. Ila umeona hako ka hela kaa ushiriki kalivyo kadogo? eti shinyanga 150?
ndiyo unakotokea?
hahahaaaa!wala shost
usikubali,watu wanapelekwa USA
wewe shinyanga kisa khaaa!!malipo 150?!!
kwani hako ka s si ndio
kanamaanisha hivyo?
au kanamaanisha sinza?!!
Nimekataa kata kata, hee kutwa nzima niko hapa kwenye mjadala nalipwa 150??
​inawezekana hahaa!!Au ilikuwa same 150?
sasa mpambe mimi
si ndio nitalipwa sh 20?
maana toka asbh na vinasa sauti niko hapa!!
​inawezekana hahaa!!
sawasawa kabisa. miandani mna $150 na baada ya mjadala figganigga atakuwa na la ziada.. tuendelee tafadhali!!
Utalipwa tabora 10
Mwambie kabisa unataka Darisalam au Kibaha ngapi?alafu amepotea isijekuwa ndio ametoroka?@Sandeni
hahahaa!!wala hiyo tabora 10
siitaki khaa!!
sawasawa kabisa. mia
Unataka kuwa mdhamini wa huu mjadala? mwenzako aamesema atalipa shinyanga 150, sasa sijui wewe utaongeza ngapi.....au umuulize Passion Lady akuelezee zaidi
Shkamoo Mrs. Ben Saanane!
Hhaha kwani kumbe Passion Lady ni mke wa mtu?ni wa nani vileMrembo by Nature nilipo kwambia huyu Sandeni hile ilikuwa post yake ya mwisho na huto muona tena. wake za watu ni sumu kabisa.
sawa tu kama atanikubalia nitangaze biashara yangu. aje tuongee vizuri. miaUnataka kuwa mdhamini wa huu mjadala? mwenzako aamesema atalipa shinyanga 150, sasa sijui wewe utaongeza ngapi.....au umuulize Passion Lady akuelezee zaidi
sawa tu kama atanikubalia nitangaze biashara yangu. aje tuongee vizuri. mia