Binti Magufuli
JF-Expert Member
- Apr 2, 2011
- 7,479
- 5,157
Mrembo by Nature tuanzie pale tukapate kwanza yale mambo yetu alafu twende mahala.....
Sawa sawa, utanipia basi tuwahi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mrembo by Nature tuanzie pale tukapate kwanza yale mambo yetu alafu twende mahala.....
Sawa sawa, utanipia basi tuwahi
mie mbona nipo hapa nje nakusubiri bana.. chungulia juu ghorofa hapo kama hutoniona
mie mbona nipo hapa nje nakusubiri bana.. chungulia juu ghorofa hapo kama hutoniona
ha ha ha ha..
sijakuona mbona
mkuu, ndio maisha yetu haya unapo muona Mrembo by Nature ujue mie nipo 100mita kutoka kwake mahala popote
ngoja jembe figganigga afike hapa nadhani bado yupo kwenye uwanja mkubwa kucheki mechi..afu nasikia mnyama kashaua..simba nomaaa. and ts vise versa!!
Libolo la bongo unalijua au unarisikia? figganigga anapita ninamo pita mimi, yani anakura nilipo acha.. yani kama wale mbwa wana watamani mbwa wenzao wanao enda kazini ah ah ah!
haaah! makubwa haya...
Mpwa leo lazima tuchiinje mnyama.....
akibisha nita mtoa nishai ile mbaya mbaya yani..... arafu nampango Mrembo by Nature asigusike tena kuwe hakuna A wala B wala nini... mwenye mpango mmbovu dhidi yake inabidi atulie tu pembeni
mrembo ye ndiyo atasema. anamtaka nani..sorry mi naona kama wanaendana sana na mkuu figganigga! we una hali ya kiudikteta
Njooni mazee, leo ni biere mpaka kuchele.... tuko na mrembo
huo mpakato mkali sana...
Mrembo by Nature unahitajika huku uje umkane figganigga
hawezi kumkana hata...yumo moyoni mwake ati!
Shuka chini twende bana, umeniona sana nawe unapenda kunirushaa