Nahitaji mke bora, kuanzia miaka 17 hadi 25

Nahitaji mke bora, kuanzia miaka 17 hadi 25

Mimi ni kijana wa miaka 30, ni mkristo nimeajiriwa serikalini elimu yangu ni degree moja

Natafuta mke umri kuanzia miaka 17 mwisho 25. Awe mkristo wa dhehebu lolote isipokua msabato

wa muislam awe tayari kufunga ndoa ya kikristo mambo mengine tutayajenga wawili

Asiwe na mtoto, elimu yoyote ile tutaendelezana mbele ya safari. Asiwe kajichubua wala tattoo ya aina yoyote ile mwilini.

Awe mcha Mungu kiasi ila asizidishe sana (asiwe mlokole tafadhali.) akipatikana Dar au Tanga itapendeza

Sifa zifuatazo ni added advantage ingawa sio lazima
1. Kipato wastani(hata kujimudu angalau vocha tu)
2. Elimu angalau
3. Smart,msafi,humble

kwa mdada aliye tayari karibu PM
Wewe una sifa zp au ndo hyo digrii moja
 
Mimi ni kijana wa miaka 30, ni mkristo nimeajiriwa serikalini elimu yangu ni degree moja

Natafuta mke umri kuanzia miaka 17 mwisho 25. Awe mkristo wa dhehebu lolote isipokua msabato

wa muislam awe tayari kufunga ndoa ya kikristo mambo mengine tutayajenga wawili

Asiwe na mtoto, elimu yoyote ile tutaendelezana mbele ya safari. Asiwe kajichubua wala tattoo ya aina yoyote ile mwilini.

Awe mcha Mungu kiasi ila asizidishe sana (asiwe mlokole tafadhali.) akipatikana Dar au Tanga itapendeza

Sifa zifuatazo ni added advantage ingawa sio lazima
1. Kipato wastani(hata kujimudu angalau vocha tu)
2. Elimu angalau
3. Smart,msafi,humble

kwa mdada aliye tayari karibu PM
Sasa mzee baba mbona unataka kubaka watoto. In mana hujui kama sheria ya nchi hairuhusu kuoa msichana wa chini ya miaka 18 au unajitoa akili
 
Mimi ni kijana wa miaka 30, ni mkristo nimeajiriwa serikalini elimu yangu ni degree moja

Natafuta mke umri kuanzia miaka 17 mwisho 25. Awe mkristo wa dhehebu lolote isipokua msabato

wa muislam awe tayari kufunga ndoa ya kikristo mambo mengine tutayajenga wawili

Asiwe na mtoto, elimu yoyote ile tutaendelezana mbele ya safari. Asiwe kajichubua wala tattoo ya aina yoyote ile mwilini.

Awe mcha Mungu kiasi ila asizidishe sana (asiwe mlokole tafadhali.) akipatikana Dar au Tanga itapendeza

Sifa zifuatazo ni added advantage ingawa sio lazima
1. Kipato wastani(hata kujimudu angalau vocha tu)
2. Elimu angalau
3. Smart,msafi,humble

kwa mdada aliye tayari karibu PM
kigezo ambacho nakushauri uzingatie ni usafi tu.
 
PUMBAVU KABISA, miaka 17, mama yako alikuwa na mme? unatutangazia ubakaji wenu etii?


Mimi ni kijana wa miaka 30, ni mkristo nimeajiriwa serikalini elimu yangu ni degree moja

Natafuta mke umri kuanzia miaka 17 mwisho 25. Awe mkristo wa dhehebu lolote isipokua msabato

wa muislam awe tayari kufunga ndoa ya kikristo mambo mengine tutayajenga wawili

Asiwe na mtoto, elimu yoyote ile tutaendelezana mbele ya safari. Asiwe kajichubua wala tattoo ya aina yoyote ile mwilini.

Awe mcha Mungu kiasi ila asizidishe sana (asiwe mlokole tafadhali.) akipatikana Dar au Tanga itapendeza

Sifa zifuatazo ni added advantage ingawa sio lazima
1. Kipato wastani(hata kujimudu angalau vocha tu)
2. Elimu angalau
3. Smart,msafi,humble

kwa mdada aliye tayari karibu PM
 
PUMBAVU KABISA, miaka 17, mama yako alikuwa na mme? unatutangazia ubakaji wenu etii?
matusi hayasaidi sana jibu hoja, kwani unadhani msichana anapevuka akifiksha miaka mingapi mkuu?? si ajabu mamaako alimzaa kaka yako wa kwanza akiwa na 16 na alikutana na babaako akiwa 15 uliwahi kumuuliza???
 
Wewe ni Mpumbavu, jibu swali kuwa miaka 17 mama yako alikuwa na mme?

matusi hayasaidi sana jibu hoja, kwani unadhani msichana anapevuka akifiksha miaka mingapi mkuu?? si ajabu mamaako alimzaa kaka yako wa kwanza akiwa na 16 na alikutana na babaako akiwa 15 uliwahi kumuuliza???
 
Back
Top Bottom