mojave
JF-Expert Member
- Apr 30, 2016
- 5,568
- 6,424
😂😂natamani kujua pia hizi chuki na dada zetu wa kisabato zimeanza liniWasabato walikukosea nn Mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂natamani kujua pia hizi chuki na dada zetu wa kisabato zimeanza liniWasabato walikukosea nn Mkuu
kabisa, 17 ni immature kabisaMiaka 17 sio mke ni kitoto cha kuchekeana, kununiana na kugayana. Umri anzia 24_28
😂😂😂Kwani wewe huu uzi ni wako?
Ukishapost uzi humu JF tayari mali ya Moderator ndio maana huwezi kuufuta. So tulia bwana harusi mtarajiwa.
Wewe una sifa zp au ndo hyo digrii mojaMimi ni kijana wa miaka 30, ni mkristo nimeajiriwa serikalini elimu yangu ni degree moja
Natafuta mke umri kuanzia miaka 17 mwisho 25. Awe mkristo wa dhehebu lolote isipokua msabato
wa muislam awe tayari kufunga ndoa ya kikristo mambo mengine tutayajenga wawili
Asiwe na mtoto, elimu yoyote ile tutaendelezana mbele ya safari. Asiwe kajichubua wala tattoo ya aina yoyote ile mwilini.
Awe mcha Mungu kiasi ila asizidishe sana (asiwe mlokole tafadhali.) akipatikana Dar au Tanga itapendeza
Sifa zifuatazo ni added advantage ingawa sio lazima
1. Kipato wastani(hata kujimudu angalau vocha tu)
2. Elimu angalau
3. Smart,msafi,humble
kwa mdada aliye tayari karibu PM
Anataka wa mjini usimpangie mkuuUkienda kule kijijini kwenu ulikozaliwa huwezi kosa.
Sasa mzee baba mbona unataka kubaka watoto. In mana hujui kama sheria ya nchi hairuhusu kuoa msichana wa chini ya miaka 18 au unajitoa akiliMimi ni kijana wa miaka 30, ni mkristo nimeajiriwa serikalini elimu yangu ni degree moja
Natafuta mke umri kuanzia miaka 17 mwisho 25. Awe mkristo wa dhehebu lolote isipokua msabato
wa muislam awe tayari kufunga ndoa ya kikristo mambo mengine tutayajenga wawili
Asiwe na mtoto, elimu yoyote ile tutaendelezana mbele ya safari. Asiwe kajichubua wala tattoo ya aina yoyote ile mwilini.
Awe mcha Mungu kiasi ila asizidishe sana (asiwe mlokole tafadhali.) akipatikana Dar au Tanga itapendeza
Sifa zifuatazo ni added advantage ingawa sio lazima
1. Kipato wastani(hata kujimudu angalau vocha tu)
2. Elimu angalau
3. Smart,msafi,humble
kwa mdada aliye tayari karibu PM
sifa ya mwanaume ni kipato na fitness basi .Wewe una sifa zp au ndo hyo digrii moja
Haya endelea kuchinasifa ya mwanaume ni kipato na fitness basi .
kuchina kivipi mkuuHaya endelea kuchina
Naongelea mentality growth wewe unawaza ukuaji wa kimwili.wanawake wanagrow too fast hiyo miaka 17 mkiishi pamoja baada ya miaka kumi mtakua almost the same ,another 10years mwanamke ataonekana mzee
mambo mengine tutafundishana ndani taratibuNaongelea mentality growth wewe unawaza ukuaji wa kimwili.
Kabisa atuweke wazi[emoji23][emoji23]natamani kujua pia hizi chuki na dada zetu wa kisabato zimeanza lini
kigezo ambacho nakushauri uzingatie ni usafi tu.Mimi ni kijana wa miaka 30, ni mkristo nimeajiriwa serikalini elimu yangu ni degree moja
Natafuta mke umri kuanzia miaka 17 mwisho 25. Awe mkristo wa dhehebu lolote isipokua msabato
wa muislam awe tayari kufunga ndoa ya kikristo mambo mengine tutayajenga wawili
Asiwe na mtoto, elimu yoyote ile tutaendelezana mbele ya safari. Asiwe kajichubua wala tattoo ya aina yoyote ile mwilini.
Awe mcha Mungu kiasi ila asizidishe sana (asiwe mlokole tafadhali.) akipatikana Dar au Tanga itapendeza
Sifa zifuatazo ni added advantage ingawa sio lazima
1. Kipato wastani(hata kujimudu angalau vocha tu)
2. Elimu angalau
3. Smart,msafi,humble
kwa mdada aliye tayari karibu PM
nieleweni,sichukii wanawake wa kisabato ila sipendi misimamo ya kisabato hasa kwa wanawake najua nikipata msabato hatutafika mbali tutakorofishana .Kabisa atuweke wazi
kwahiyo hata nikipata bibi wa miaka 50 nichukue tu umri hauna shida,kila mtu ana choice mkuukigezo ambacho nakushauri uzingatie ni usafi tu.
Mimi ni kijana wa miaka 30, ni mkristo nimeajiriwa serikalini elimu yangu ni degree moja
Natafuta mke umri kuanzia miaka 17 mwisho 25. Awe mkristo wa dhehebu lolote isipokua msabato
wa muislam awe tayari kufunga ndoa ya kikristo mambo mengine tutayajenga wawili
Asiwe na mtoto, elimu yoyote ile tutaendelezana mbele ya safari. Asiwe kajichubua wala tattoo ya aina yoyote ile mwilini.
Awe mcha Mungu kiasi ila asizidishe sana (asiwe mlokole tafadhali.) akipatikana Dar au Tanga itapendeza
Sifa zifuatazo ni added advantage ingawa sio lazima
1. Kipato wastani(hata kujimudu angalau vocha tu)
2. Elimu angalau
3. Smart,msafi,humble
kwa mdada aliye tayari karibu PM
hata akiwa sio msafi ataogeshwa atatakata ndio mana niksema sio miongoni mwa vigezo vya lazimakigezo ambacho nakushauri uzingatie ni usafi tu.
matusi hayasaidi sana jibu hoja, kwani unadhani msichana anapevuka akifiksha miaka mingapi mkuu?? si ajabu mamaako alimzaa kaka yako wa kwanza akiwa na 16 na alikutana na babaako akiwa 15 uliwahi kumuuliza???PUMBAVU KABISA, miaka 17, mama yako alikuwa na mme? unatutangazia ubakaji wenu etii?
matusi hayasaidi sana jibu hoja, kwani unadhani msichana anapevuka akifiksha miaka mingapi mkuu?? si ajabu mamaako alimzaa kaka yako wa kwanza akiwa na 16 na alikutana na babaako akiwa 15 uliwahi kumuuliza???
cha msingi usafi tu awe anaiosha vizurikwahiyo hata nikipata bibi wa miaka 50 nichukue tu umri hauna shida,kila mtu ana choice mkuu