Nahitaji mke bora, kuanzia miaka 17 hadi 25

Nahitaji mke bora, kuanzia miaka 17 hadi 25

Unakaufara Fulani hivi mkuu naona elimu imekusaidi kusolve financial problems tu ...take care and try to observe advice. Inaoneka wewe ni mbaguzi wa kidini.Tumia akili mkuu
mkuu wewe ni msabato na ulikua unahitaji mume??/ maana naona nimekukera sana ,pole ila ndio msimamo wangu,na wenye sifa wamekuja inbox najaribu kufanya selection kutokana na vigezo vyangu ili kupata mtu sahihi
 
Back
Top Bottom