Nahitaji mke wa kuoa awe mnene

Nahitaji mke wa kuoa awe mnene

[emoji2216][emoji2216][emoji2216][emoji1][emoji1]vigezo vyote ninavyo hapo najiona mie[emoji17][emoji3526]Ila kitu kimoja tu ninacho hapo hakipo[emoji1][emoji38][emoji38]
 
Namshukru Mungu, asanteni Sana kwa wote mlioniombea nipate mke na wale ambao hamkuleta kejeli kwenye Jambo mhm Kama hili la kutafuta mke wa kuoa, tambueni kuwa syo kila mtu anamzaha na kitu anachokifanya.
NATAMKA RASMI KUWA MKE WA KUOA NIMESHA MPATA TUPO KWENYE MAZUNGUMZO.
ASANTENI NYOTE🙏🏼
Shukran mkuuu 💯
 
Miaka 45 unatafuta mke? Ulikua wapi?
Halafu unataka aliyenenepeshwa na wenzio.
Maisha ni safar huenda alikuwa naye kisha akafarik au wakapeana talaka hivyo mtu ameamua kuendelea na safari nyingine.
Na ukumbuke ss ni binadamu tunakutana na misukosuko na vikwanzo vingi vya kimaisha na mahusiano
 
Back
Top Bottom