Nahitaji mke wa kuoa awe mnene

[emoji2216][emoji2216][emoji2216][emoji1][emoji1]vigezo vyote ninavyo hapo najiona mie[emoji17][emoji3526]Ila kitu kimoja tu ninacho hapo hakipo[emoji1][emoji38][emoji38]
 
Shukran mkuuu 💯
 
Miaka 45 unatafuta mke? Ulikua wapi?
Halafu unataka aliyenenepeshwa na wenzio.
Maisha ni safar huenda alikuwa naye kisha akafarik au wakapeana talaka hivyo mtu ameamua kuendelea na safari nyingine.
Na ukumbuke ss ni binadamu tunakutana na misukosuko na vikwanzo vingi vya kimaisha na mahusiano
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…