Nahitaji mke wa kuoa awe mnene

Nahitaji mke wa kuoa awe mnene

Maisha ni safar huenda alikuwa naye kisha akafarik au wakapeana talaka hivyo mtu ameamua kuendelea na safari nyingine.
Na ukumbuke ss ni binadamu tunakutana na misukosuko na vikwanzo vingi vya kimaisha na mahusiano
Asante sana 🙏🏼 wakikua watajua
 
Mzee [emoji1787][emoji1787]
Wakati mko mnapeak at 32/33/34/35/36 uwa mnaringaa.
Mkishakuwa wababa wazee wa 40s mnaacha kunyata [emoji23][emoji23]
Hahahahaaaaaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]
 

Umri wangu 46, mtumishi wa serikali.

Sifa za mke;
1. Elimu kuanzia kidato cha nne.
2. Dini yoyote.
3. Umri iwe Miaka 30-50.
Mimi ninao mabinti wawili wamekaa tu hawapati wachumba, unaonaje nikupe woye wawili ukiwachanganya utapata unene unaoutaka, tuwasiliane.
 

Umri wangu 46, mtumishi wa serikali.

Sifa za mke;
1. Elimu kuanzia kidato cha nne.
2. Dini yoyote.
3. Umri iwe Miaka 30-50.
Vigezo vyote unavyohitaji ametimiza, she is all yours, welcome aboard. Nikiwa kama mzazi ninawapa unga wa dona
kilo 100.
images.jpeg
 
Back
Top Bottom