John Amigo
JF-Expert Member
- Aug 19, 2016
- 627
- 414
- Thread starter
- #21
hahahaha umekazia [emoji23] [emoji23]Wadada changamkieni fursa hiyo..... Kigezo ni kujua kusoma na kuandika tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahahaha umekazia [emoji23] [emoji23]Wadada changamkieni fursa hiyo..... Kigezo ni kujua kusoma na kuandika tu
bola unisaidie[emoji23] [emoji23]Hapo itakuwa kazi ya mama [emoji1] [emoji1]
mie pia naipenda jamii Forum buludan kucheka [emoji23] [emoji23] [emoji23]Nimefurahi tu kuona wewe ni expert member
jf ni kitovu cha buludan[emoji3]Mwandiko wako si haba! Kila la heri mkuu "
Nenda KimbokaMimi ni kijana umri 30 nahitaji mwanamke umri 25-30 asie na mtoto kama ana mtoto basi mzazi, mwenza labda asiwe duniani maana akiwa hai atapoteza sifa ya kinyang'anyiro.
Karibuni elimu sio lazima
[emoji23] [emoji23] [emoji23] apa ni kufulai tu mkuuu iyo nakuachia wewNenda Kimboka
L---*rjf ni kitovu cha buludan[emoji3]
Humu humu kuna Superwoman2 anatafuta mtu jiunge nae lakini tafadhali usije mtapeli tu binti yetuMimi ni kijana umri 30 nahitaji mwanamke umri 25-30 asie na mtoto kama ana mtoto basi mzazi, mwenza labda asiwe duniani maana akiwa hai atapoteza sifa ya kinyang'anyiro.
Karibuni elimu sio lazima
[emoji2] [emoji2] sifa zako zipi