Nahitaji mke wa kuoa

Nahitaji mke wa kuoa

Ngoja kwanza nimuwekee sumu mzazi mwenzangu wakati wanazika mi[emoji126] [emoji126] [emoji126] [emoji126] [emoji126]
 
Mimi ni kijana umri 30 nahitaji mwanamke umri 25-30 asie na mtoto kama ana mtoto basi mzazi, mwenza labda asiwe duniani maana akiwa hai atapoteza sifa ya kinyang'anyiro.

Karibuni elimu sio lazima
Nenda Kimboka
 
Mimi ni kijana umri 30 nahitaji mwanamke umri 25-30 asie na mtoto kama ana mtoto basi mzazi, mwenza labda asiwe duniani maana akiwa hai atapoteza sifa ya kinyang'anyiro.

Karibuni elimu sio lazima
Humu humu kuna Superwoman2 anatafuta mtu jiunge nae lakini tafadhali usije mtapeli tu binti yetu
 
Back
Top Bottom