Kwaiyo wewe huwataki wajasiriamali unataka waajiriwa tu?Hello ndugu zangu mim nikijana mwenye umri wa miaka 38 Nina elimu na nimeajiriwa serikalin si mrefu si mfupi Nina kama cm168
Naitaji mke mwenye elimu na aliye
ajiriwa serikalin au private sector na mwenye elimu mwenye urmi kuanzia 25 na kuendelea uwe serious
Wee ni mzee wa western nini?Hello ndugu zangu mim nikijana mwenye umri wa miaka 38 Nina elimu na nimeajiriwa serikalin si mrefu si mfupi Nina kama cm168
Naitaji mke mwenye elimu na aliye
ajiriwa serikalin au private sector na mwenye elimu mwenye urmi kuanzia 25 na kuendelea uwe serious
Aliemuelewa anieleweshemwenye elimu na aliye
ajiriwa serikalin au private sector na mwenye elimu
Kuoa Ni maamuzi,ume andika pumba,kila mtu anaoa anapo amua kwa sahihi kwakeMiaka 38 hujaoa ulikuwa wapi?
Au unataka kusomesha watoto kwa pesa za pension?
Kazini hujaona?
Kanisani hujapata mke?
Mtaani nako?
Shule?.
Au wewe ni Domo zege?
Hata kama Domo zege lakini mbona wanawake wanajitongozesha kwa mtu mwenye uhakika wa msosi.
Una tatizo, si bure
Mkuu hapa umeyumba kidogo.Miaka 38 hujaoa ulikuwa wapi?
Au unataka kusomesha watoto kwa pesa za pension?
Kazini hujaona?
Kanisani hujapata mke?
Mtaani nako?
Shule?.
Au wewe ni Domo zege?
Hata kama Domo zege lakini mbona wanawake wanajitongozesha kwa mtu mwenye uhakika wa msosi.
Una tatizo, si bure
Hamna ndugu.Mkuu hapa umeyumba kidogo.
AiseeMuwe mnaweka na picha
Mkuu na wewe unatafuta? Nije pmAisee
Kibungo? Ulimuita yule Kibungo na huyu?Mkuu na wewe unatafuta? Nije pm
Ukute anao nje ya ndoa au mkewe amefariki,anataka kuoa,you never know.Miaka 38 hujaoa ulikuwa wapi?
Au unataka kusomesha watoto kwa pesa za pension?
Kazini hujaona?
Kanisani hujapata mke?
Mtaani nako?
Shule?.
Au wewe ni Domo zege?
Hata kama Domo zege lakini mbona wanawake wanajitongozesha kwa mtu mwenye uhakika wa msosi.
Una tatizo, si bure
Kibungo piaKibungo? Ulimuita yule Kibungo na huyu?
Wote vibungo kumbe duuh, 😂Kibungo pia