myoyambendi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 166,767
- 705,461
Natafuta jirani....Mkuu na wewe unatafuta? Nije pm
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Natafuta jirani....Mkuu na wewe unatafuta? Nije pm
Weka tangazo lenye vigezo na mashartiNatafuta jirani....
Mke lazima :Weka tangazo lenye vigezo na masharti
😂😂😂Ndio atuambie hapa😂
Umetishaaaa mkuu🤣🤣🤣🤸Mke lazima :
1. Awe mwanamke..
2. Sura ya kike..
3.Awe anavaa nguo za kike..
Zenye maua maua na kutetematetema..........Umetishaaaa mkuu🤣🤣🤣🤸
Nguo za kike ndio zikoje?
Jirani mimi hua navaa hizo nguo, nifanyie basi connection nipate mumeZenye maua maua na kutetematetema..........
Sawasawa jirani....nitumie picha lakini isionyeshe sura...mwili tu wa kike..Jirani mimi hua navaa hizo nguo, nifanyie basi connection nipate mume
Mwili wa kike ninao umejaa tele, nakutumia jirani saivi saivi.Sawasawa jirani....nitumie picha lakini isionyeshe sura...mwili tu wa kike..
Kwa ground mambo ni tofauti...Umeshaaribu kutaja vigezo vya masuala ya kazi wanawake wakishajiajiri au kujiajiri hawataki mume.
Labda ndalama zilikuwa zinapiga chenga bwana.Miaka 38 hujaoa ulikuwa wapi?
Au unataka kusomesha watoto kwa pesa za pension?
Kazini hujaona?
Kanisani hujapata mke?
Mtaani nako?
Shule?.
Au wewe ni Domo zege?
Hata kama Domo zege lakini mbona wanawake wanajitongozesha kwa mtu mwenye uhakika wa msosi.
Una tatizo, si bure
Vipi hivyoKwa ground mambo ni tofauti...
Wanataka ila kuna tuvitu flan flan havielezeki kirahis
Ukweli mtupuUmeshaaribu kutaja vigezo vya masuala ya kazi wanawake wakishajiajiri au kujiajiri hawataki mume.
Sawa jirani,, Ila sijui kama wanaume wanajua vikoba ni nini..Mwili wa kike ninao umejaa tele, nakutumia jirani saivi saivi.
Ila mwambie nadaiwa vikoba