Nahitaji mke

Nahitaji mke

Miaka 38 hujaoa ulikuwa wapi?
Au unataka kusomesha watoto kwa pesa za pension?
Kazini hujaona?
Kanisani hujapata mke?
Mtaani nako?
Shule?.
Au wewe ni Domo zege?
Hata kama Domo zege lakini mbona wanawake wanajitongozesha kwa mtu mwenye uhakika wa msosi.
Una tatizo, si bure
Labda ndalama zilikuwa zinapiga chenga bwana.
 
Back
Top Bottom